Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 756
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nilikua kama wewe lakini niliwinda std 7 leaver wa kama miaka 3 after school nilipopata nikavunja glass nikaweka ndani maana huyo X wake ni mimi.
Mwenzangu namimiBikra ni masuala ya kufikirika tu mi siamin kam Kuna kitu kinaitwa bikra kwsababu sijawai kukutana nayo
Sent using Gun Trigger
Tulioishi kota au vijijivi tulijipigia saaana, hapa mjini wanavunjwa na houseboys au classmate waoBikra ni masuala ya kufikirika tu mi siamin kam Kuna kitu kinaitwa bikra kwsababu sijawai kukutana nayo
Sent using Gun Trigger
Huu uzi umeniumiza sana, stak ata kusimulia.Sijawai kuwa siriaz na mwanamke ambae sijambikiri, bikra zipo bnafsi kuna raha ya kuitoa ile kitu ila usihuzunike sana kama hujawai kutana na ambae hajawai mengine n mapito tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
😳😳AiseeSijawai kuwa siriaz na mwanamke ambae sijambikiri, bikra zipo bnafsi kuna raha ya kuitoa ile kitu ila usihuzunike sana kama hujawai kutana na ambae hajawai mengine n mapito tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji15][emoji15]Aisee
Amna 😶Nini mbona washangaa?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huu uzi umeniumiza sana, stak ata kusimulia.
Amna [emoji55]
2014.....niko najitolea mahali baada ya kutoka JKT nksubr kwnda chuo mwez Nov, nlikutana na binti mmoja mzur sana, dini sana yan, akanielewa,tukadate huku akiwa kanihakikishia kuwa yeye ni bikra, ile 2015 april nkiwa chuon yeye yupo dar, tukapanga kuonana, huyo nikasafr from Dom to Dar, meeting her by suprise she wasn't a virgin, nliumia sana..... akaniomba msamaha maisha yakaendelea nko nae adi leo ila ukwel alinitoa kwenye plan zangu kabsa 'bnafs nlipanga mwanamke ntakaemtoa bikra ndo ntakae muoa' ila ndo hvo tena, Huu uchungu haujawah isha sijui kwanin, nyuzi za hivi huwa znaniumiza mno mpaka sasa.
2014.....niko najitolea mahali baada ya kutoka JKT nksubr kwnda chuo mwez Nov, nlikutana na binti mmoja mzur sana, dini sana yan, akanielewa,tukadate huku akiwa kanihakikishia kuwa yeye ni bikra, ile 2015 april nkiwa chuon yeye yupo dar, tukapanga kuonana, huyo nikasafr from Dom to Dar, meeting her by suprise she wasn't a virgin, nliumia sana..... akaniomba msamaha maisha yakaendelea nko nae adi leo ila ukwel alinitoa kwenye plan zangu kabsa 'bnafs nlipanga mwanamke ntakaemtoa bikra ndo ntakae muoa' ila ndo hvo tena, Huu uchungu haujawah isha sijui kwanin, nyuzi za hivi huwa znaniumiza mno mpaka sasa.