Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,346
Habari zenu wakuu.
...
Just nauliza tu, jee nikawaida mtu kutokulala mchana? (baada ya kuamka asubuhi hadi usiku)
...
Nakumbuka kuna kipindi niliumwa sana, hali hiyo ilipelekea nikae kitandani mda wote, hata hivyo sikuweza kupata usingizi! Ispokua siku ya kwanza ya kuumwa huko, usingizi wenyewe nilipata kama saa moja tu hivi! Tena maongezi na pilika zote nilikua nikiziskia!
...
Kwa anaejua aniambie hapa, jee ni kawaida au kunakitu hakiko sawa katika mwili wangu?
Umri ni 23 hadi 26!
...
Just nauliza tu, jee nikawaida mtu kutokulala mchana? (baada ya kuamka asubuhi hadi usiku)
...
Nakumbuka kuna kipindi niliumwa sana, hali hiyo ilipelekea nikae kitandani mda wote, hata hivyo sikuweza kupata usingizi! Ispokua siku ya kwanza ya kuumwa huko, usingizi wenyewe nilipata kama saa moja tu hivi! Tena maongezi na pilika zote nilikua nikiziskia!
...
Kwa anaejua aniambie hapa, jee ni kawaida au kunakitu hakiko sawa katika mwili wangu?
Umri ni 23 hadi 26!