Sijawahi kulala Mchana!

Watu tupo tofauti kweli.....mie lazima mchana nipate masaa mawili ya kulala unless najiskia kuumwa tu na usiku nalala masaa 8-10.....kichwa cha mausingizi hichi lol

Ah! Mnanipuna kweli! Sometimes nakuwa mwenyewe tu, no job no place to go! Nabaki tu kupoteza mda Jf!
 
Angetaja tu exactly miaka yake coz nobody care, na pia humu tunaingia kwa fake nicknames hamna anaemjua instead ya kusema 23 hadi 26. kwa hiyo hata akifa itaandikwa amekufa na umri wa 23 hadi 26??

Unauhakika gani?
Kama unamoyo wa kuchangia huo umri niliotaja hapo ungetosha kutoa mtazamo wako!
Miaka yangu yakuhusu nini?
Kama 'no body care' mbona umeshupalia hapo tu?
 
kutaja au kutokutaja miaka ni utashi wake mwenyewe kama kaamua kuficha ni uamuzi wa busara aliojichagulia
muhimu asaidiwe tatizo lake tu

Yes!
Nitetee hivyo hivyo mabeste!
Au tummwagie tindikali? Teh teh teh!
 
Farkhina unanicheka! We haya tu!

Ah nakuchekesha vile wakati nataka nikupunguzie maana hayo masaa ya usiku 8-10 siku nyengine niamshwe ila naweza lala zaidi.....

Nlivokua shule nikirudi saa 9 baada ya kula nalala hadi 12 kuna siku naunganisha hadi asubuhi
 
punguza mawazo and lala ple unapokuwa umechoka mwili uone usingizi mtamu sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…