Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,346
- Thread starter
- #21
Watu tupo tofauti kweli.....mie lazima mchana nipate masaa mawili ya kulala unless najiskia kuumwa tu na usiku nalala masaa 8-10.....kichwa cha mausingizi hichi lol
Ah! Mnanipuna kweli! Sometimes nakuwa mwenyewe tu, no job no place to go! Nabaki tu kupoteza mda Jf!