princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Ila watu mna chuki..
mimi wcb huyu lavalava ndio naona anaimba ladha ya africa mashariki (pwani)
Huyu jamaa na kassim mganga[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7].....
Halafu anajua kutumia kiswahili fasaha na misemo... tatizo mmezoea oh kanishika dushe/papuchi
lavalava hamtamuelewa
mimi wcb huyu lavalava ndio naona anaimba ladha ya africa mashariki (pwani)
Huyu jamaa na kassim mganga[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7].....
Halafu anajua kutumia kiswahili fasaha na misemo... tatizo mmezoea oh kanishika dushe/papuchi
lavalava hamtamuelewa