GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nina Marafiki kadhaa huko Arusha na GENTAMYCINE huwa sipendi kuwahi Kumhukumu Mtu bila ya Kwanza kufanya Uchunguzi wangu wa Kinjagu (Kimosadi) ili Kujiridhisha. Nilichogundua ni kwamba Mbunge Mrisho Gambo amefanya mazuri kadhaa na yanaonekana ila mengi ambayo ameshindwa Kuyatekeleza ni kwasababu ya Hila na Chuki za waziwazi na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda (jina halisi Daudi Albert Bashite) akishirikiana na Madiwani kadhaa Wapumbavu.
Na labda leo nikuambie RC Makonda kuwa usijiamini 100% sana hapo ulipo kwani upo uwezekano kwa PDF lijalo usiwepo.
Na labda leo nikuambie RC Makonda kuwa usijiamini 100% sana hapo ulipo kwani upo uwezekano kwa PDF lijalo usiwepo.