Utekaji ni janga kubwa linaloikumba taifa kwa sasa. Ajabu viongozi hawa waandamizi wazunguka na kuhutubia bila kugusia hata kidogo. Je huu ni dalili kuwa hawaguswi na mateso wanayopitia ndugu na jamaa za waliotekwa?
Kabla ya wimbi hili kuibuka, Bashite alitoweka kipindi kirefu bila kujulikana alipokuwa, tuyaunganishwe?
Kabla ya wimbi hili kuibuka, Bashite alitoweka kipindi kirefu bila kujulikana alipokuwa, tuyaunganishwe?