Sijawahi kumsikia Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wakizungumzia wimbi la utekaji

Sijawahi kumsikia Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wakizungumzia wimbi la utekaji

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Utekaji ni janga kubwa linaloikumba taifa kwa sasa. Ajabu viongozi hawa waandamizi wazunguka na kuhutubia bila kugusia hata kidogo. Je huu ni dalili kuwa hawaguswi na mateso wanayopitia ndugu na jamaa za waliotekwa?

Kabla ya wimbi hili kuibuka, Bashite alitoweka kipindi kirefu bila kujulikana alipokuwa, tuyaunganishwe?
 
Utekaji ni janga kubwa linaloikumba taifa kwa sasa. Ajabu viongozi hawa waandamizi wazunguka na kuhutubia bila kugusia hata kidogo. Je huu ni dalili kuwa hawaguswi na mateso wanayopitia ndugu na jamaa za waliotekwa?

Kabla ya wimbi hili kuibuka, Bashite alitoweka kipindi kirefu bila kujulikana alipokuwa, tuyaunganishwe?
Nyumbani kwenu wametekwa wangapi?
 
Utekaji ni janga kubwa linaloikumba taifa kwa sasa. Ajabu viongozi hawa waandamizi wazunguka na kuhutubia bila kugusia hata kidogo. Je huu ni dalili kuwa hawaguswi na mateso wanayopitia ndugu na jamaa za waliotekwa?

Kabla ya wimbi hili kuibuka, Bashite alitoweka kipindi kirefu bila kujulikana alipokuwa, tuyaunganishwe?
wao ndio wasimamizi wa hguo utekaji
 
Utekaji ni janga kubwa linaloikumba taifa kwa sasa. Ajabu viongozi hawa waandamizi wazunguka na kuhutubia bila kugusia hata kidogo. Je huu ni dalili kuwa hawaguswi na mateso wanayopitia ndugu na jamaa za waliotekwa?

Kabla ya wimbi hili kuibuka, Bashite alitoweka kipindi kirefu bila kujulikana alipokuwa, tuyaunganishwe?
Mnanikumbusha nchi ya Burkina Faso yenye Rais kijana
 
Utekaji ni janga kubwa linaloikumba taifa kwa sasa. Ajabu viongozi hawa waandamizi wazunguka na kuhutubia bila kugusia hata kidogo. Je huu ni dalili kuwa hawaguswi na mateso wanayopitia ndugu na jamaa za waliotekwa?

Kabla ya wimbi hili kuibuka, Bashite alitoweka kipindi kirefu bila kujulikana alipokuwa, tuyaunganishwe?
Sometimes silence means admit!
 
Ni drama tu
Omba uendelee kusoma na kuhadithiwa hivyo hivyo kwenye mitandao isitokee kwenye familia yako.

Baadhi ya comment humu huwaonyesha namna watu walivyo kiumri na kiakili.
 
Rais kishasema ni Drama, hao wengine wanaovaa fulana zenye picha yake kifuani unataka waseme nini?
 
Back
Top Bottom