Huyu kabisa yuko kama Nyerere, copyright. Hata anavyoongea na kupanga hoja zake, na hekima yake ilivyo utadhani ni mtoto wa NyerereInakuwaje wanajamvi!
Sijawahi kumuona katibu mkuu mpya kiongozi ndani ya suti. Sasa hivi piga ua garagaza zika fukua lazima atinge suti tu.
Kama ilikuwa masharti imekula kwake.
Usinikumbushe mambo ya Tukuyu.Kuna jamaa nilisomaga nae box 2 anaitwa Alipipi Afyusisye....
Ungejua mitindo inaanziaga ufaransa na Italia ungejua mshamba Ni Nani hapo.View attachment 1712935
Ila ile suti Mheshimiwa Kabudi waziri wa mambo ya nje aliyovaa ufaransa ni hatarii ilimtoa na kumvaa vema kabisa. Yani kati ya hilo kundi Kabudi katoka.
Angalia waziri wa mambo ya nje ufaransa alivyo shabby hadi kachomekea tai. Aliyemshonea Kabudi ana mkono mzuri sana.
Mrejesho.Aiseeh duh.
Bashiru naona kasoma huu uzi. Ameapa hajavaa suti ya kimagharibi.
Hii thread ndiyo ilimtia gunduInakuwaje wanajamvi!
Sijawahi kumuona katibu mkuu mpya kiongozi ndani ya suti. Sasa hivi piga ua garagaza zika fukua lazima atinge suti tu.
Kama ilikuwa masharti imekula kwake.
Wow! Kapendeza.
View attachment 1712935
Angalia waziri wa mambo ya nje ufaransa alivyo shabby hadi kachomekea tai.
Ni kifo cha hayatiHii thread ndiyo ilimtia gundu