Sijawahi kung'oa JF

Sijawahi kung'oa JF

natafuta PUNDA anibebee mzigo wangu kwenda China; unaonekana una sifa ninazohitaji. Ukirudi huko watakutambua maana utakuwa na pesa mara 13 ya hizo ulizonazo, hapo utapata babies wa kila rangi. changamkia tenda
HA HA HA aya bana umenifunika nipe dili nisake mahela lakini mwakyembe anabana

Huyo Mwakyembe ni nguvu ya soda tu, acha auze sura shughuli inaendelea; hii bizines ina mtandao mkubwaaaaaa!
 
Mjitokezeni basi niko single,am a boy aka baby hapa JF kwa hiyo naweza sema ni bikira wa humu,nichangamkieni basi nina vigezo vifuatavyo
1.Akaunt zangu zinasoma Mil 90(personal) busines inazo 200million
2.Nina gari tatu,Range-rover,prado na verossa can u imagine how shall u enjoy with my luxuries cars
3.Nina nyumba 2 hapa mjini moja iko Mbezi beach,nyingine kimara
4.Nafanya kazi mshahara wangu Mil 4 kwa mwezi,marupurupu million 2 sum.....6000000
5.Nina vitega uchumi vi 5,ambavyo kila siku faida ni Mil 1

Haya nichangamkieni fasta akina dada kabla sijanyakwa

Sent from G spot

We bikira? Duh, dalili za ushoga utaziona tu!
 
duh! kwel Mwakyembe ana kazi ngumu. Huyu naye anaonekana dawa zimemzidi leo.
 
Wamtaani wameshindwa kumnyaka itakuwa hapa, anafikiri wadada wa humu ni vilaza kama yeye. Anaweza kuchunwa na mzigo asipewe na fungu tukafaidi wengine.
 
Mmh. Bora ungenyamaza! What if mie nnavyo kuzidi ulivyovitaja? Nikung'oe mimi ama bado utataka uning'oe?

Nguvu za kiume zikianza kupungua vitoto vya namna hii huanza kutafuta mabasha. Kamepiga pun*eto mpk kamekwisha sasa kanatafuta mume
 
Back
Top Bottom