Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili nikung'oe?samahani sina mpango wa kukupa malezi ya kambo.tafuta mwingine si mama Timmy!byeeePole sana
niku PM nini ?
natafuta PUNDA anibebee mzigo wangu kwenda China; unaonekana una sifa ninazohitaji. Ukirudi huko watakutambua maana utakuwa na pesa mara 13 ya hizo ulizonazo, hapo utapata babies wa kila rangi. changamkia tenda
HA HA HA aya bana umenifunika nipe dili nisake mahela lakini mwakyembe anabana
Huyo Mwakyembe ni nguvu ya soda tu, acha auze sura shughuli inaendelea; hii bizines ina mtandao mkubwaaaaaa!
isipokuwa Heaven on earth tu. mia
Mjitokezeni basi niko single,am a boy aka baby hapa JF kwa hiyo naweza sema ni bikira wa humu,nichangamkieni basi nina vigezo vifuatavyo
1.Akaunt zangu zinasoma Mil 90(personal) busines inazo 200million
2.Nina gari tatu,Range-rover,prado na verossa can u imagine how shall u enjoy with my luxuries cars
3.Nina nyumba 2 hapa mjini moja iko Mbezi beach,nyingine kimara
4.Nafanya kazi mshahara wangu Mil 4 kwa mwezi,marupurupu million 2 sum.....6000000
5.Nina vitega uchumi vi 5,ambavyo kila siku faida ni Mil 1
Haya nichangamkieni fasta akina dada kabla sijanyakwa
Sent from G spot
thats why I love my baby!!!!!!:A S kiss:
Heaven na mimi!!!!!!
unataka baby wangu anitoe nduki hum ndani nisirudi tena
Mmh. Bora ungenyamaza! What if mie nnavyo kuzidi ulivyovitaja? Nikung'oe mimi ama bado utataka uning'oe?
Ili nikung'oe?samahani sina mpango wa kukupa malezi ya kambo.tafuta mwingine si mama Timmy!byeee
Sasa hiyo byeeee hiyo, hiyo byeeee hiyo! Shauri yako!