Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha matusi ya rejareja weweNawaonaga tu watu wafupi sijawahi kuona mchawi mrefu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23] huku sasa ni kutaka kutugombanisha na watu wafupi mmewapa lawama miaka yoye safari hii mmeanza kuwaita wachawi
Yaani hata mimi nashangaa.[emoji23][emoji23] huku sasa ni kutaka kutugombanisha na watu wafupi mmewapa lawama miaka yoye safari hii mmeanza kuwaita wachawi
Oya rudisha ile hashtag yako ya #yes bishoo haswa#[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23] huku sasa ni kutaka kutugombanisha na watu wafupi mmewapa lawama miaka yoye safari hii mmeanza kuwaita wachawi
😂😂😂😂😂😂😂acha matusi ya rejareja wewe
ndugu yangu mods wa jf wameniblock yaani sa hv kila nikiiweka inakataa itabidi niwaambie maana inakua kinyonge sanaOya rudisha ile hashtag yako ya #yes bishoo haswa#[emoji3][emoji3]
haikubaliki tuungane tuwatetee watu wafupi ndguYaani hata mimi nashangaa.h
aikubali
Utalaaniwa wewe[emoji1787]Nawaonaga tu watu wafupi sijawahi kuona mchawi mrefu.
Ndugu una mme, unawaonaje hao wachawi na wafupi pekee, wewe no mmoja wao au mganga🤔.Nawaonaga tu watu wafupi sijawahi kuona mchawi mrefu.
Yes bishoo haswaandugu yangu mods wa jf wameniblock yaani sa hv kila nikiiweka inakataa itabidi niwaambie maana inakua kinyonge sana
Kumbuka kuna changamoto ya kukaa kwenye ungo, mrefu miguu itakaaje?Nawaonaga tu watu wafupi sijawahi kuona mchawi mrefu.