Sijawahi kuona Upendo kama huu anaonipa huyu Dada

Sijawahi kuona Upendo kama huu anaonipa huyu Dada

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Wakuu,
Ambao hamjapata muwapendao poleni sana,najua mnapitia changamoto sana~ukitupia ndoano samaki anaikwepa,mnahangaika wallah.

Wakuu,baada ya kuhangaika sana kumtafuta nimpendae basi bwana nimejikuta ninampata dada mmoja mrembo kuzidi wote,mweupe,trako kama mlima kilimanjaro,mpole na mcha MUNGU.

Aise sijawahi kupewa penzi kama hili, amekamilika kila kona,yaani both ktk kutimiza majukumu kama mke na kitandani pia hajambo.

Chochote nitakacho napewa,nikijikwaa kdg tu nipatewa pole na machozi yatatoka kunililia eti nimeumia

Sasa nimeona isiwe tabu,jana nimetoka kujitambulisha kwao na mwezi wa nne atakuwa mke wangu rasmi.

Na leo nimetoka kupokea gari bandarini kwa ajiri ya kumpa zawadi ya valentine hapo kesho kutwa. Ambao hamna wapenzi mtajijua wengine tupo dunia yetu.

Karibuni valentine day nyumbani kwangu majimatitu dar~es~salaam.
 
Wakuu,
Ambao hamjapata muwapendao poleni sana,najua mnapitia changamoto sana~ukitupia ndoano samaki anaikwepa,mnahangaika wallah.

Wakuu,baada ya kuhangaika sana kumtafuta nimpendae basi bwana nimejikuta ninampata dada mmoja mrembo kuzidi wote,mweupe,trako kama mlima kilimanjaro,mpole na mcha MUNGU.

Aise sijawahi kupewa penzi kama hili, amekamilika kila kona,yaani both ktk kutimiza majukumu kama mke na kitandani pia hajambo.

Chochote nitakacho napewa,nikijikwaa kdg tu nipatewa pole na machozi yatatoka kunililia eti nimeumia

Sasa nimeona isiwe tabu,jana nimetoka kujitambulisha kwao na mwezi wa nne atakuwa mke wangu rasmi.

Na leo nimetoka kupokea gari bandarini kwa ajiri ya kumpa zawadi ya valentine hapo kesho kutwa. Ambao hamna wapenzi mtajijua wengine tupo dunia yetu.

Karibuni valentine day nyumbani kwangu majimatitu dar~es~salaam.
Upo kwenye penzi jipya kwanza limeanza. Subiri muda ndiyo utakuja kugundua hiki ulichoandika hakina maana yoyote.
Mapenzi ndiyo huanza hivyo ila huko mbele ndiyo utajua kuwa ni utapeli
 
1000022815.jpg
 
Wakuu,
Ambao hamjapata muwapendao poleni sana,najua mnapitia changamoto sana~ukitupia ndoano samaki anaikwepa,mnahangaika wallah.

Wakuu,baada ya kuhangaika sana kumtafuta nimpendae basi bwana nimejikuta ninampata dada mmoja mrembo kuzidi wote,mweupe,trako kama mlima kilimanjaro,mpole na mcha MUNGU.

Aise sijawahi kupewa penzi kama hili, amekamilika kila kona,yaani both ktk kutimiza majukumu kama mke na kitandani pia hajambo.

Chochote nitakacho napewa,nikijikwaa kdg tu nipatewa pole na machozi yatatoka kunililia eti nimeumia

Sasa nimeona isiwe tabu,jana nimetoka kujitambulisha kwao na mwezi wa nne atakuwa mke wangu rasmi.

Na leo nimetoka kupokea gari bandarini kwa ajiri ya kumpa zawadi ya valentine hapo kesho kutwa. Ambao hamna wapenzi mtajijua wengine tupo dunia yetu.

Karibuni valentine day nyumbani kwangu majimatitu dar~es~salaam.
Asante kwa mwaliko..nikifika maji matitu nielekee Chasimba au hapo HAPO matitu bus stop.
 
Wakuu,
Ambao hamjapata muwapendao poleni sana,najua mnapitia changamoto sana~ukitupia ndoano samaki anaikwepa,mnahangaika wallah.

Wakuu,baada ya kuhangaika sana kumtafuta nimpendae basi bwana nimejikuta ninampata dada mmoja mrembo kuzidi wote,mweupe,trako kama mlima kilimanjaro,mpole na mcha MUNGU.

Aise sijawahi kupewa penzi kama hili, amekamilika kila kona,yaani both ktk kutimiza majukumu kama mke na kitandani pia hajambo.

Chochote nitakacho napewa,nikijikwaa kdg tu nipatewa pole na machozi yatatoka kunililia eti nimeumia

Sasa nimeona isiwe tabu,jana nimetoka kujitambulisha kwao na mwezi wa nne atakuwa mke wangu rasmi.

Na leo nimetoka kupokea gari bandarini kwa ajiri ya kumpa zawadi ya valentine hapo kesho kutwa. Ambao hamna wapenzi mtajijua wengine tupo dunia yetu.

Karibuni valentine day nyumbani kwangu majimatitu dar~es~salaam.
 

Attachments

  • little-child-try-grab-cup-600nw-1887544984.jpg
    little-child-try-grab-cup-600nw-1887544984.jpg
    44.1 KB · Views: 4
Back
Top Bottom