Sijawahi kuona uzuri unaopatikana kwa wanawake kufuga kucha

Sijawahi kuona uzuri unaopatikana kwa wanawake kufuga kucha

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Yamkini mko salama kabisa wanabodi hapa

a3bc552eefcfdf10684650e842ffd121.jpg
Kwa kawaida mapambo yote ya urembo kwa upande wa mwanamke faida yake kuu ni kujiona amependeza yeye mwenyewe kwanza, na kwa upande wa sisi wanaume ni kuvutia naye kwa jinsi alivyojipamba.

Ukiachilia mbali mapambo ni kustiri mwili,mfano nguo, viatu, kofia na vinginevyo. Lakini kwa mwanamke ambaye amejipamba kwa mfano wa kuachia kucha au kubandika kucha, sijawahi kuona uzuri unaopatikana kwa wanawake kufuga kucha au kubandika kucha.

Ombi kwa wabobezi wa mambo ya urembo, mtupe faida kidogo inayopatikana kwa wanawake kuwa na kucha kiasi hiki kwenye picha, ili kuwachukia wanawake wa namna hii huenda kukawa mwisho kwangu na wengine mfano wangu.

Pengine unaweza kukosa jambo kwa kudharau tu kumbe likawa lina faida kwako, kwahivyo karibu tupashane habari hii.

Nawasilisha
 
Kufuga kucha ushwahilini ni uchafu.

Kufuga kucha ushuani hakuna shida. Maana maji yapo ya kutosha na pressure taps zipo za kutosha.

Mwanamke wa ushwahilini kufuga kucha ni uchafu wa hali ya juu. Ukimvua kyupi huyo unaweza kukimbia.
 
Kufuga kucha /kubandika kucha ni urembo tu tena unakuwa smart !ila sasa kila mtu anapenda sytles zake wengine wanapenda ndefu km hizo hapo juu wengine tunapenda fupi lakini safiiii! Haina shida!

Wengine kucha tunaombeaga hela/ misamaha' tukiwkosea wapendhi wetu' ! unamkuna kuna shingoni/kifuani anakusamehe na fungu anakukatia ! ila fupi ndo zinapendeza zaid km ni mwanamke ulie na majukumu ya kifamilia ! mie nafuga lakini huwa nazishape ziwe fupi za kuvutia!
 
kufuga kucha /kubandika kucha ni urembo tu tena unakuwa smart !ila sasa kila mtu anapenda sytles zake wengine wanapenda ndefu km hizo hapo juu wengine tunapenda fupi lakini safiiii !haina shida!

wengine kucha tunaombeaga hela/ misamaha' tukiwkosea wapendhi wetu' ! unamkuna kuna shingoni/kifuani anakusamehe na fungu anakukatia ! ila fupi ndo zinapendeza zaid km ni mwanamke ulie na majukumu ya kifamilia ! mie nafuga lakini huwa nazishape ziwe fupi za kuvutia !
Nimekuelewa mkuu. Nasubiri mwingine!

Hasa kidume mwenzangu atoe faida kwa upande wake
 
Kufuga kucha ushwahilini ni uchafu.

Kufuga kucha ushuani hakuna shida. Maana maji yapo ya kutosha na pressure taps zipo za kutosha.

Mwanamke wa ushwahilini kufuga kucha ni uchafu wa hali ya juu. Ukimvua kyupi huyo unaweza kukimbia.

Mkuu hakuna cha uswahilini wala cha nini....

1. Kufuga kucha ni ujinga na kutojitambuwa haijalishi ana degree ngapi.....kwani ile midude inaumuhimu gani jamani? Nikujidhalilisha tu

2. Kujichubua.....mtu anaacha rangi yake halisi ya ngozi ambayo rasmi ina tabaka/layers tatu nakila moja inakazi maalum kwa afya ya mwanadamu....unakuta dume zima au mwanamke kajichubuwa nakujipachika negative kwanini?

Mtu wahivi siwezi kaa naye meza moja kama vipi naishia zangu....sihusidishi ujinga na upumbavu kabisaaas
 
Mimi huwa napenda sana wanawake wanaofuga mazivu yaani inakuwa kama bustani nzuri imeuzunguuka mti mzuri wenye matunda mazuri yenye kunukia vizuri
MKWEPA KODI, nilijua tu lazima utakuja kivingine kabisa, lakini si mbaya kwa kivutio chako kwa wanawake [emoji16][emoji4]
 
MKWEPA KODI, nilijua tu lazima utakuja kivingine kabisa, lakini si mbaya kwa kivutio chako kwa wanawake [emoji16][emoji4]
Tetetetetetetetete mkuu mimi huwa nayachezea sana mazivu na kisima cha maji matamu tetetetetetetetete
 
Hakuna kitu nakichukia kama kuweka makucha kama shetani/jini....be natural and you'll you look great and full of wisdom
Mkuu aisee hii kitu ni balaa, yaani unatagakari vilivyo lakini unaishia kukosa majibu.
 
Mkuu tupe mtazamo wako kwenye kucha za bandia, muhimu sana mkuu
Mimi napenda sana kila kitu alichonacho Mwanamke, akinipa ulimi nakula, akinipa utumbo nakula, akinipa nyama stake nakula, mimi najali utamu ninaoupata kwenye kisima, ulimi na utumbo basi
 
kufuga kucha /kubandika kucha ni urembo tu tena unakuwa smart !ila sasa kila mtu anapenda sytles zake wengine wanapenda ndefu km hizo hapo juu wengine tunapenda fupi lakini safiiii !haina shida!

wengine kucha tunaombeaga hela/ misamaha' tukiwkosea wapendhi wetu' ! unamkuna kuna shingoni/kifuani anakusamehe na fungu anakukatia ! ila fupi ndo zinapendeza zaid km ni mwanamke ulie na majukumu ya kifamilia ! mie nafuga lakini huwa nazishape ziwe fupi za kuvutia !

Mimi huwa nafurahi zaidi zikinikunakuna kwenye makende [emoji1492]
 
Back
Top Bottom