Sijawahi kupendwa

Inatufundisha kwamba at 29 walau ujaze Noah...walau Noah tu[emoji23][emoji23]
Hiyo Ni idadi inayopaswa kufanyika ndani ya miezi 6 , [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakutana na rude Gal, kutana na Gal mwngne utaenjoy hayo mapenzi ya kuch kuch hottae
Thubutuu [emoji16][emoji16][emoji16] Ujinga wa kupenda jinsi ulivyo kwanza ukimpenda mtu Sana hata Kama she's/he good person lakini lazima uwe uanze kuishi kwa wasi+ , Yaani akichelewa kurudi unaanza kuwaza differ , asipopokea simu inakua hivyo pia , Yaani unakuwa Kama you're living in hell , hayo ndio Mambo nisiyo yataka [emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]
 
Maybe ana maanisha ile kuwa serious in relationship , sitaki kuamini kuwa in 10yrs alikuwa analiwa na huyo huyo mtu 1 hizo zitakuwa Ni chai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeshajua aina ya wanaume unao-date nao. Mara nyingi watoto wa mama wanaojiona wa kishua ma-HB ndo hawanaga mambo za kupenda coz wanapendana na mama zao. Tena ukute ni ya kaskazini ndo balaa kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeeeh. Hahahah
 
Ongeza mwingine mkuu
 
Ayo yote yataisha siku ukijifunza kuandika kiswahili kizuriπŸ™„πŸ™„
 
Usione mapaa Kasie yanaficha mengi, kuna siku ninapata leave Mzee akiwa kwa mchepuko.

Ukweli kabisa ulichosema na maisha yanaenda.

Kikubwa kuheshimiana na amani iwepo, akirudi anakuta kaandaliwa maji ya vuguvugu ya kuoga, akitoka ugali wa bada na kuku viko tayari akishiba unamtandikia na katikati ya kitanda unaweka kitenge/khanga yako nadhifuuu ambayo upande mwingine umejifunga .......

Asubuhi mnaamka mnatabasamu tuu watoto wanajua mshua anaupiga mwingi.....

#PaaLinafichaMengi....
 
Kasie fundi wa mahaba..

I see you mom..

Hujambo mtoto mzuri??

Mwaka umeuanza vizuri?

Kila nikikuona jukwaani nakumbuka ule uzi wa Dare or Truth.....😁😁
 
Sijaona K Vant na Kitimoto hapo.

Nimesusa....

Aahahahahaaa babuuuu unaanzaje kususa sasa.....

Nipe link ya chimbo jipya la kitimoto mjini Daslam nakuja na boksi la KVant.....

Ila saa ya kuondoka ukishindwa kunyanyuka namuita Sky aje akurudishe nyumbani 🀣🀣🀣🀣
 
Umeanza kutoa siri za ndani sasa. Na kwa taarifa yako mchepuko ndio huyohuyo Kasie nitie mahaba matata

Babuuu mi sjui kupigana ujue....πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ila uzuri wake Sky ni mpolee hajui ugomvi....
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…