Sijawahi kupendwa

Sijawahi kupendwa

Joannah Mapenzi ni vitu vingi ila hasa ni Care, Romantic nk

Ukisema huyo msukuma yeye hana mambo ya love umeamkaje, upowapi mpenzi kwamba yeye anafanya kwa vitendo tu hakuna vutendo vyengine Kwenye mahusiano zaidi ya hivi kitu pekee utachotoa mfano wa vitendo ni yeye kukupa pesa tu (Materials Things) nipe mfano wa tendo lingi e huwezi kupata....So in real sense huyo msukuma hana mapenzi hakujari zaidi ya kutumia power yake ya pesa tu imagime akiwa Hana pesa then Nini ata offer kwako.

Mawasilano kwenye mahusiano yana nafasi kubwa na ndio vutendo vyenyewe kwenye mapenzi kutumiwa sms 'umeamkaje love' 'upowapi love' hio inaonesha CARE mpenzi wako anajari kuhusu wewe hizo sms vinafanya hata kuondoa misongo.

Malanyingi kisaikolojia ukiwa upo low/Down unamtumia sms mpenzi wako soft chatting zinakufanya uwe High kidogo.

Hayo ndio mapenzi huwezi kuniambia anakupenda kwa vitendo kwa kukutumia pesa tu na kukuuuliza umepokea hayo sio mapenzi
Kunywa soda kwa Mangi nakuja kulipa
 
Hello dears just want to share something with you about my love life.

I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.

Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.

Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.

Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)

My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.

I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Ndege wafananao huruka pamoja

Anza kushow love na uache kuwa reactive uwe proactive
 
Njoo kwangu Mimi najua kumake love lakini nilienae anaringia uzuri wake full kuninyanyasa msg asbh anajibu jion
 
Hello dears just want to share something with you about my love life.

I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.

Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.

Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.

Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)

My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.

I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Ni mume wako sasa, au bado
 
Back
Top Bottom