Hahahaha!uko korrekti 100% wako vze kwenye kuhudumia very responsible man!na wako vzr kwa shows!ila masuala ya bebi bebi wapelekee watangaa[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba Gudi ana nini lakini?ila Ukibahatika upate ule mwamba umesomea bush country huko ila kafanikiwa kutoka kimaisha,lafudhi ileile bado anayo uta enjoy Sana show... ni wakarimu mnooo hawana porojo wale ni mwendo wa kutunzwa tuuu
Wasukuma Oyeeeβ¦[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]wasukuma wengi wanaume hawako romantic shoo!nshawahi experience hyo hali,yaani yeye kutoa hanaga shida pesa mbele ,anatoa tuu!ila usitegeme kubembelezwa sijui baby..baby...darling..[emoji2][emoji2][emoji2]hazipo hizoo!ukifanya masihara mtakaa hata Siku3 hakutafuti ila ukiwa na shida anakuhudumia vzr sana!!nilivomjua hakunipaga shida kamwee!nilienda na biti lake hilo hilo na tukaishi fresh tu!
Yaani yuko busy to core!!sio kua hampendi mwanamke wake ila hawako romantic! Kuna mdada kaolewa ananiambia sijawahi kuambiwa guudnight na baba Gudi toka Tuoane almost 10yrs!!!neno I love you halipooo!!!
Hakuna kiumbe kigumu kukielewa kama binadamu(iwe ni ke ama me)Mwanaume usipomuonesha uanaume wake anakua inferior sometimes hata km ipo aombe ht vocha
Yani wewe kazi yako ni kucheka tuπ€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiiih.
Kasie wewe ni vegan,vegetarian au pescatarianAhahahahhaaa ngoja kwanza nimuitie kapo inayopendana humu kama mate na ulimi....π
Nao si wengine ni babu Asprin na bi Sky Eclat ....
Aige mfano wao atajikuta tuu anapendwa hadi anazimia...π.
Kwangu mie ....... Mahaba ni Chakula, azingatie kujipenda, ale chakula kizuri chenye ladha na kumvutia machoni azingatie ambacho hakiharibu mwili.
View attachment 2134328View attachment 2134329View attachment 2134330View attachment 2134331View attachment 2134333
Just few to mention π.
Hadithi yako inatufundisha nini mkuuMimi nimekamata hapo pa kudate wanaume wawili tu, mbona wachache hivyo? At 29 inakuwaje na wawili tu?
ππSi bora hata yeye hiyo ten yrs alikuwa na mmoja tu, kwanza mimi namsifu sana, ten yrs na mtu mmoja tu anahitaji zawadi huyu...na ujuwe hata hajaolewa lakini katulia na mmoja tu... really encouraging!
Mapendo hayo yapo Chalinze au Mkata? Ninayasubirihaya ngoja nianze kukupenda.
Hili ni la msingi zaidiPole..jifunze kujipenda wewe kwanza.
πππππHahahaha!uko korrekti 100% wako vze kwenye kuhudumia very responsible man!na wako vzr kwa shows!ila masuala ya bebi bebi wapelekee watangaa[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]
TrueInawezekana na ukawa unachaagua Sana watu yaani wanao kupenda kwel una wa kataa unaenda kwa unao wa penda ambao nao hawaja kupenda kwa ukweli.
Mara nyingi Sana wanawake wanakuwa kwenye mazingira magumu Sana hasa kuchagua, wanawake wa napenda Sana watu wenye muonekano mzuri bila kujua kama upendo wake upoje kwako.
Kwa kusema hayo unacho takiwa kuangalia Nani a nakupenda sio wew unapenda nini hapo Uta experience love
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]hawa watu acha tuuu!!!Wasukuma Oyeeeβ¦
Nina wapendwa sana wasukuma lakini ikifikia hiyo hatua stimu inakata.
Sitaki maswali ila ninauzoefu [emoji16][emoji16]
Kuna kipindi niliwaza kubadilika nikajitahidi week kama mbili baadae nikarudia asili yangu. Kumbe ndivyo tulivyo wasukuma.ππ[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]wasukuma wengi wanaume hawako romantic shoo!nshawahi experience hyo hali,yaani yeye kutoa hanaga shida pesa mbele ,anatoa tuu!ila usitegeme kubembelezwa sijui baby..baby...darling..[emoji2][emoji2][emoji2]hazipo hizoo!ukifanya masihara mtakaa hata Siku3 hakutafuti ila ukiwa na shida anakuhudumia vzr sana!!nilivomjua hakunipaga shida kamwee!nilienda na biti lake hilo hilo na tukaishi fresh tu!
Yaani yuko busy to core!!sio kua hampendi mwanamke wake ila hawako romantic! Kuna mdada kaolewa ananiambia sijawahi kuambiwa guudnight na baba Gudi toka Tuoane almost 10yrs!!!neno I love you halipooo!!!
Wanaupendo wa dhati sana ila tatizo hapo kwenye uhindi hindi πππ[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]hawa watu acha tuuu!!!
Inatufundisha kwamba at 29 walau ujaze Noah...walau Noah tuππHadithi yako inatufundisha nini mkuu
Kasie fundi wa mahaba..Ahahahahhaaa ngoja kwanza nimuitie kapo inayopendana humu kama mate na ulimi....[emoji28]
Nao si wengine ni babu Asprin na bi Sky Eclat ....
Aige mfano wao atajikuta tuu anapendwa hadi anazimia...[emoji4].
Kwangu mie ....... Mahaba ni Chakula, azingatie kujipenda, ale chakula kizuri chenye ladha na kumvutia machoni azingatie ambacho hakiharibu mwili.
View attachment 2134328View attachment 2134329View attachment 2134330View attachment 2134331View attachment 2134333
Just few to mention [emoji39].
Wasukuma mbinguni moja kwa moja!Wasukuma Oyeeeβ¦
Nina wapendwa sana wasukuma lakini ikifikia hiyo hatua stimu inakata.
Sitaki maswali ila ninauzoefu ππ