bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Hata hapa kwa kupost hii thread ushatongoza.Hivi ni mimi tu au kuna wengine ambao nao hawajawahi kutongoza mademu humu JF?
Sasa nawashangaa ambao mnatongoza mademu humu,hisia zinatokaga wapi?Picha uongo ,jina uongo!!
Huyu alokwambia watu tuna fanafana akili hana piaHivi ni mimi tu au kuna wengine ambao nao hawajawahi kutongoza mademu humu JF?
Sasa nawashangaa ambao mnatongoza mademu humu,hisia zinatokaga wapi?Picha uongo ,jina uongo!!
Mwambie huyoMkuu wenzako wamekua wazazi kupitia JF.
Sipati picha walianzaje,labda walipenda mwandiko kwanza!Mkuu wenzako wamekua wazazi kupitia JF.
Wanawake wakutongoza wanaume hawapo humu[emoji14]unataka kupigwa sound.....
wataalamu wanakuja
Nimeona wataalamu wameandika kuwa unaempenda wewe like kila anachopost.Sipati picha walianzaje,labda walipenda mwandiko kwanza!
Nimemtongoza nani mkuu?Hata hapa kwa kupost hii thread ushatongoza.
Kujinadi hujatongoza ni kutongoza wanaopenda wasiotongoza tongoza ovyo.Nimemtongoza nani mkuu?
Umeanzaje kumpenda?umevutiwa na avatar fake?au jina?Nimeona wataalamu wameandika kuwa unaempenda wewe like kila anachopost.
Hayo ya avatar ni special delivery tena unapofungua ndiyo unajua ndani kuna nini.Umeanzaje kumpenda?umevutiwa na avatar fake?au jina?