Sijawahi kutongoza JF

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Hivi ni mimi tu au kuna wengine ambao nao hawajawahi kutongoza mademu humu JF?

Sasa nawashangaa ambao mnatongoza mademu humu,hisia zinatokaga wapi?Picha uongo ,jina uongo!!

Tena wale wanaokuja kutafuta wachumba ndio kabisaaaa!
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]ni asili yao
 
Hivi ni mimi tu au kuna wengine ambao nao hawajawahi kutongoza mademu humu JF?

Sasa nawashangaa ambao mnatongoza mademu humu,hisia zinatokaga wapi?Picha uongo ,jina uongo!!
Huyu alokwambia watu tuna fanafana akili hana pia
 
Kwani we unapotongoza shida yako kuu inakuwa ni nini!!?
Mana hata kama jina la uongo na picha ya uongo
Ila papuchi inabaki pale pale haiwezi kuwa ya uongo.!
We kula dodo tu acha visirani kwa hawa warembo wetu humu.
 
Mimi pia sijawahi kutongoza, sababu kubwa ni kuwa

1: Humu bana ID nyingi ni fake, unaweza kutongoza kumbe ni kidume mwenzio anakulaghai tu

2: Kuna mabinti micharuko ukiwaendea PM wataweka jiuzi kubwaa kukuchamba hapa hadharani

3: ID nyingi hazitumii picha halisi za wahusika, yani wengi au niseme wote wameweka picha zisizo zao halisi hivyo huwezi kwanza kupata mwanga kwamba huyu mtu anamwonekano gani, unaweza kutupia vibe ukikutana nae kumbe mzazi wako.

Hivyo jamani naombeni tujitahidi kusaidiana kwa hayo, ya Mungu mengi huwezi jua leo na kesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…