Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
- Thread starter
-
- #21
𝐍𝐝𝐨 maana nimesema nita-set mfumo wa elimu ambao wasomi hawatapoteza muda mwingi shule.Vip wengine ambao wameajiriwa wakiwa na miaka 35 mpaka 38
Mkuu ni lazima ungalikuwa ni muimla na dikteta mkubwa kama utataka kutawala bila uwepo wa katiba, uhuru wa mahakama na bunge. Kwa kifupi wewe utakuwa mungu--mtu na kila ulitakalo itapaswa litimizwe hata kama lina kasoro hakuna atakaye thubutu kukushauri.
Kama tulishaonja madhila ya mtawala mwenye hisia kama zako kupitia JPM, basi tusithuburu kuruhusu kosa kama hilo lijirudie tena. Ukweli ni mchungu lakini ni lazima usemwe ili utuweke huru.
KIONGOZI MWENYE SIFA ULIZOZIAINISHA HAFAI KUONGOZA NCHI YETU.
𝐏𝐮𝐭𝐢𝐧 𝐢𝐬 𝐭𝐡𝐞 𝐨𝐧𝐥𝐲 𝐏𝐞𝐫𝐬𝐨𝐧 𝐢𝐧 𝐭𝐡𝐞 𝐖𝐨𝐫𝐥𝐝, 𝐰𝐡𝐨 𝐝𝐢𝐝𝐧'𝐭 𝐬𝐞𝐥𝐥 𝐡𝐢𝐬 𝐂𝐨𝐮𝐧𝐭𝐫𝐲 & 𝐩𝐞𝐨𝐩𝐥𝐞 𝐭𝐨 𝐆𝐥𝐨𝐛𝐚𝐥𝐢𝐬𝐭𝐬Hatutaki udikteta wa ki Putin nchini kwetu.
Who are Globalists?𝐏𝐮𝐭𝐢𝐧 𝐢𝐬 𝐭𝐡𝐞 𝐨𝐧𝐥𝐲 𝐏𝐞𝐫𝐬𝐨𝐧 𝐢𝐧 𝐭𝐡𝐞 𝐖𝐨𝐫𝐥𝐝, 𝐰𝐡𝐨 𝐝𝐢𝐝𝐧'𝐭 𝐬𝐞𝐥𝐥 𝐡𝐢𝐬 𝐂𝐨𝐮𝐧𝐭𝐫𝐲 & 𝐩𝐞𝐨𝐩𝐥𝐞 𝐭𝐨 𝐆𝐥𝐨𝐛𝐚𝐥𝐢𝐬𝐭𝐬
Ndio maana huwezi kuwa Rais,maana bado hata hujui mifumo ya dunia Kiuchumi,kijamii na kiutawala inavyoendeshwa.
1.eti utafuta somo LA Historia-bila historian utajua umetoka wapi na unakwenda wapi?.tambua kuwa kila kitu na kila chochote tunachokifanya ulimwenguni kote tunajifunza wenzetu waliotutangulia walifanyaje-hii duniani kote.
2.Huongezi ajira kwa kupunguza umri wa kustafu,kama ingekuwa hivyo basi Nchi zote duniani ajira isingekuwa tatizo.gharama za kuwastafisha watu wakiwa na jmri mdogo ni kubwa kuliko mishahara wanayoipata kufikia umri wa kustaafu.
Ajira zinaongezwa kwa kuanzisha viqanda vingi na kuaanza kuzalisha,kwa kutumia rasilimali zilizopo..
3.Jeshini na uzalendo wapi na wapi,kama unadhani kwenda jeshini ndio uzalendo na kuwa Rais (mwanasiasa) sio uzalendo,mbona wanajeshi ni wengi kuliko hao wanasiasa- kwa nini wasitumie uzalendo wao kuirekebisha Nchi.
Hivi unajua kuwa Rais anaendesha Nchi kwa 98% kwa kumtegemea Mkuu wa Majeshi?,kwa hiyo Mkuu wa majeshi hana uzalendo anaona anayemkingia kifua anaharibu Nchi na yeye anaangalia?.
Nchi kukuosa uzalendo kunatokana na watu wake kutokuwa na maarifa ya kutosha,kama kila moja wetu angeona uchungu wa Kofi yetu basi hamna mwanasiasa angecheza na fedha ya umma.
Haha ha ha! Haujielewi hata Sudani hamna Bu.nge ni wanajeshi tu ila Khartoum ni mapigano na nchi wameiharibu tayariWakuu habarini za muda huu.
Hii nchi nikiisoma historia yake tangu uhuru mpaka sasa ilipofikia huwa inaniuma sana.
Miaka 62 ya uhuru haiendani kabisa na maendeleo tuliyonayo kama taifa.
Kwa kiasi kikubwa bado tunalia na matatizo yale yale; Umaskini,miundo mbinu mibovu,huduma hafifu za afya,elimu,wasomi hawana ajira,soko la wakulima matatizo,ufisadi,rushwa n.k.
Ili kuepusha haya mambo na kuwa na taifa imara na lenye future nzuri, kama kesho ningekuwa RAIS ningefanya yafuatayo.
1️⃣ Ningepunguza Umri wa kustaafu kwa watumishi wa umma; Kutokana na Tatizo la ukosefu wa ajira nchini kwa vijana wasomi kuwa kubwa, ningepunguza umri wa kustaafu kutoka miaka 60-65 hadi miaka 45-50.
Lengo ni kupisha wengine nao wafaidi national cake ili kupunguza umaskini mtaani, kama umeajiriwa kwa miaka 15 hadi 20 ni dhahiri ushatengeneza msingi wa maisha una haki kabisa ya kupisha wwngine nao watengeneze future za maisha yao.
So, na-set mfumo wa elimu ambao mpaka msomi anafikisha miaka 25 mpaka 30 awe tayari amesha-graduate na nampa ajira alafu akifikisha miaka 45-50 namstaafisha ili kupisha wengine nao waajiriwe wapate mishahara waboreshe maisha yao na familia zao.
Kwa kiasi kikubwa hapa nitapunguza tatizo la wasomi wengi kukosa ajira.
2️⃣ Nisingeruhusu mtu yeyote kuwa na ajira zaidi ya moja au kupewa ajira nyingine baada ya kustaaafu; Nimeona huu upuuzi ukiwepo sana, watu wana zaidi ya ajira moja na wanakula mishahara tofauti, au mtu anastaafu kazi yake alafu anateuliwa tena kwenye zingine, mfano MABEYO.
Huku ni kunyima fursa kwa wasomi wengine kuchukua nafasi, huu upuuzi kama siwezi kufanya kwenye serikali yangu.
3️⃣ Ningepunguza muda wa elimu shuleni; Mfumo wetu wa elimu ni wa miaka mingi sana kiasi kwamba tunazekea shuleni na huu ni mfumo wa kipuuzi.
Ni kawaida kwa kwa wenzetu wazungu kukuta profesa ana miaka 25 mpaka 30, ila kwa sisi Tanzania mpaka uje uwe profesa tayari una miaka 50+ kama siyo 60+.
Hii yote ni kwa sababu tunaumizana wenyewe kwa wenyewe kwenye mfumo wetu wa elimu tukiamini kukaa miaka mingi shuleni ndiyo kuelimika.
Mimi ningepunguza kabisa mfumo wa elimu wa kukaa shule miaka mingi, mfano elimu ya msingi ningepunguza kuanzia primary kutoka miaka 9 iwe 7 pekee, sekondary O-level kutoka miaka 4 iwe mitatu pekee,A-level kutoka miaka miwili iwe mmoja pekee, Na degree miaka miwili tu badala ya 3+
Hii itasaidia vijana kuajiriwa wakiwa wadogo sana kwa hiyo hata nikim-staafisha akiwa na miaka 45-50 tayari atakuwa ashakaa kwenye ajira kwa miaka zaidi ya 20 inamtosha sana kupisha wengine nao waupunguze umaskini.
3️⃣ Mfumo wa elimu/topics ningebadilisha kabisa; Ningepunguza masomo shuleni maana kuna mengine hayana maana.
Mfano Kusoma historia za wakoloni haisaidii kitu chochote kwa uchumi wa nchi hii, Masomo ya sanaa yote ningeyaweka kuwa somo moja tena nachagua topic muhimu kwa ajili ya kufunza uzalendo tu.
Haya mengine ya sayansi na Vocational training ndiyo ningeyafanya kuwa kipa umbele zaidi.
Ningehakikisha mwanafunzi anaanza form one akiwa na combination ya masomo matatu pekee wala haina haja ya kusubiri mpaka Advanced level.
unakuta mwanafunzi wa O-level anasoma mzigo wa masomo 9 hadi 12, huu ni upuuzi usiyo na maana yeyote zaidi ya kuwa mzigo tu kwa mtoto.
Mimi ningekuwa Rais combination zingeanzia form one na ni Sayansi tupu na Vocation Training kwa wale wasiotaka Sayansi.
Trust me hii nchi itafika mbali kwa vizazi vijavyo, hatutakuwa tunafata matibabu India wala mainjinia CHINA.
4️⃣Ningefuta allowances zote ambazo wakuu wa nchi huwa wanapewa; Hapa sina hakika sana ila huwa nasikia kwamba, Kuanzia kwa Waziri mkuu kwenda juu, viongozi hawa waki-staafu huendelea kulipwa asilimia 80% ya mishahara yao iliyokuwa ikilipwa walipokuwa madarakani.
Sasa huu ni mfumo wa kipuuzi na kishetani, huwezi kunambia kwamba Rais, makamu au waziri mkuu atashindwa kuendesha maisha yake baada ya kutoka mamlakani mpaka uendelee kumlipa asilimia 80% ya mshahara wake wa zamani tena.
Huku ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi watanzania, nafuta hizi allowances zikafanye kazi zingine za msingi, na pia niliona eti rahisi akistaafu anajengewa nyumba na kukubidhiwa na serikali (hii nilishuhudia Magufuli akimkabidhi Mwinyi nyumba mpya eti kwa sababu katiba inaelekeza hivo).
Mimi huu upuuzi sifanyi, kama ulishindwa kujenga nyumba yako kwa mshahara wako ulivyokuwa madarakani basi usitegemee nitoe pesa za watanzania nikujengee wewe nyumba, lazima matumizi mabaya ya pesa kama haya niyazui ili kusudi pesa ziende kufanya mambo ya msingi kwa maslahi ya Watanzania.
5️⃣Ningefuta Bunge lisiwepo kabisa; Wengi tunadhani kwamba Uwepo Bunge ni msaada mkubwa kwa nchi, ila mimi nawaambia kama Rais atakuwa mwadilifu wala haina haja ya kuwa na wawakilishi (Bunge).
Binafsi nikiwa madarakani nafuta kabisa Bunge lisiwepo, maana linakula tu pesa ila kazi ya msingi hasa halina.
Bunge kwa mwaka linatumia mabilioni ya pesa, mimi ningelifuta Bunge alafu hizo pesa zilizokuwa zinatumika kwa ajili ya Bunge nazielekeza kwenye huduma za wananchi kama Hospitali na miundo mbinu mingine muhimu.
6️⃣ Katiba ya nchi naitupa chooni siku hiyo hiyo nitakayoingia madarakani; Katiba yetu ya nchi ya sasahivi siyo katiba bali ni taka taka, haifai kabisa kwa nchi yetu ya sasa maana kuna mambo ya hovyo sana mle.
Ningetengeneza Baraza la mawaziri dogo tu (Kila wizara na msaidizi wake basi) na hao ndiyo wangekaa na mimi Rais tutunge Katiba+Sheria yenye mambo ya msingi tu.
7️⃣ Huwezi kugombea rais kama hujapita jeshini kwa angalau miaka 10; Wanasiasa wengi Wamekuwa majizi kwa.sababu hawajui nini maana ya Uzalendo.
Mimi naamini jeshi pekee.ndiyo linaweza kufundisha uzalendo, Kwa hiyo napitisha sharia kali kabisa kuwa ukitaka kuwa Rais au waziri inabidi upite jeshini kwa angalau miaka 10 ili ufunzwe nini maana ya Uzalendo na ukija kuingia madarakani basi uwe mzalendo kisawa sawa na mchapa kazi haswa.
Tuna majizi wengi sana kwenye siasa ambayo yametokea tu mtaani hayajawahi kufunzwa uzalendo.
Nna Mambo mengi ya kuongea/kufanya ni-summarize tu kuwa nitabadili mambo mengi sana, Wafungwa wote gerezani nawaachia huru kabisa alafu naanzisha mfumo mpya wa magereza kwa ajili ya mafisadi tu kama kina JK,Membe,Ridhiwan n.k nawasweka ndani mpaka waseme kwanini hii nchi waliifanya kuwa ya familia, na muda huo nawafilisi mmoja baada ya mwingine.
Hakutakuwa na hukumu ya Maisha gerezani, kifungo kirefu itakuwa miaka 10 tu gerezani isipokuwa kwa mafisadi.
Sina muda wa kufunga majambazi gerezani, jambazi yeyote anaetumia bunduki itakuwa ni kupiga risasi na kuua hakuna kufunga gerezani.
Uchumi ukikaa vizuri hakuna mwanachi atakaelipa kodi maana hii nchi ina rasilimali nyingi sana, kodi watalipa wafanya biashara wakubwa kama kina Mo,Bakressa na wengine.
Nitakuwa tayari kufa na kutoa maishani yangu kama sadaka kwa Watanzania.
Nna mengi ila mengine nitayaongezea kwenye comment zenu.
Bila kusahau MASHOGA nitawapiga risasi live kama wanyama wa kuwinda, huwezi kuwa shoga mimi Rais nikuache uwe hai.
Moderators naombeni msiufute huu ujumbe.
Nawasilisha.
Haha ha ha! Haujielewi hata Sudani hamna Bu.nge ni wanajeshi tu ila Khartoum ni mapigano na nchi wameiharibu tayari
Angalia tu North Korea ni jeshi na umaskini wa kutisha na hofu kwa kila mtu ndo unataka Tz tuwe hivyo?Totally sikubaliani na wewe kabisa.
Kwanza hiyo mifumo ya kidunia unayosema siyo lazima kila nchi iifate.
Kuna mifumo mingine ni ya kipuuzi tu.
Na mifumo unayosema wewe kuwa ya kidunia ni ile ambayo imekuwa introduced na nchi za magharibi hasa Marekani na umoja wa ulaya (EU) ambayo hiyo mifumo wameileta kwa ku-favour maslahi yao wenyewe huku wakivuruga maslahi ya wengine kwa kutumia Ubeberu wao.
Unaweza kuchukua mkondo tofauti kabisa na mifumo yao na ukafsnikiwa na ndiyo maana ukiamua kuchukua mkondo tofauti na wao wanavyowaza basi wanakuharibia ili nchi yako isitawalike, vikwazo vya kiuchumi vingi ama kukuua kabisa.
Na mifumo hayo unayoyasema wewe ndiyo hayo yanatumika kwa ulimwengu wa tatu sasahivi lakini umesaidia nini zaidi mbona tunaendelea na matatizo yale yale tena ndiyo yanazidi zaidi.
Ni mifumo ya kipuuzi sana hiyo.
Na ni lazima nikukanye kwamba unaposema jeshi halifunzi ama halina uzalendo wowote ujue unalikosea heshima.
Kwanza lazima ujue nchi nyingi duniani jeshi na siasa/serikali huwa havitakiwi kufanya kazi kwa kuingiliana.
Yaani jeshi ni state within a state, ni kama serikali inayojitegemea kabisa ndani ya nchi.
Na wanajeshi wazalendo mara nyingi wamepindua nchi zao kwa ajili ya maslahi ya wananchi pale walipoona wanasiasa wanaleta uchuro.
Angalia wakuu wa majeshi miaka ya juzi hapa huko Misri,Sudan,Chad,Guinea,Burkina Faso,Mali.
Wananeshi wazalendo walupindua serikali za kisiasa na kuchukua nchi kwa sababu ya upuuzi wa wana siasa
Physics siyo heasabu?Physics inafanya nini.
Angalia tu North Korea ni jeshi na umaskini wa kutisha na hofu kwa kila mtu ndo unataka Tz tuwe hivyo?
Wakati wenzake wanastrugle kuwa globalists yeye alikuwa wapi? Hii statement yako inaonesha kuna wengine wenye nguvu zaidi kuliko huyo kichaa wako.𝐏𝐮𝐭𝐢𝐧 𝐢𝐬 𝐭𝐡𝐞 𝐨𝐧𝐥𝐲 𝐏𝐞𝐫𝐬𝐨𝐧 𝐢𝐧 𝐭𝐡𝐞 𝐖𝐨𝐫𝐥𝐝, 𝐰𝐡𝐨 𝐝𝐢𝐝𝐧'𝐭 𝐬𝐞𝐥𝐥 𝐡𝐢𝐬 𝐂𝐨𝐮𝐧𝐭𝐫𝐲 & 𝐩𝐞𝐨𝐩𝐥𝐞 𝐭𝐨 𝐆𝐥𝐨𝐛𝐚𝐥𝐢𝐬𝐭𝐬
Katika yote uliyoandika kwamba utafanya mabadiliko hakika sijaona hata moja litakalofanikiwa. Umeangalia uongozi wa nchi kwa nje tu jinsi mambo yanavyofanyika yakadhihiri lakin kwa mdani kuna msukumo mkubwa wa viongozi kufanya hata wasioyapenda na kuyataka.Wakuu habarini za muda huu.
Hii nchi nikiisoma historia yake tangu uhuru mpaka sasa ilipofikia huwa inaniuma sana.
Miaka 62 ya uhuru haiendani kabisa na maendeleo tuliyonayo kama taifa.
Kwa kiasi kikubwa bado tunalia na matatizo yale yale; Umaskini,miundo mbinu mibovu,huduma hafifu za afya,elimu,wasomi hawana ajira,soko la wakulima matatizo,ufisadi,rushwa n.k.
Ili kuepusha haya mambo na kuwa na taifa imara na lenye future nzuri, kama kesho ningekuwa RAIS ningefanya yafuatayo.
1️⃣ Ningepunguza Umri wa kustaafu kwa watumishi wa umma; Kutokana na Tatizo la ukosefu wa ajira nchini kwa vijana wasomi kuwa kubwa, ningepunguza umri wa kustaafu kutoka miaka 60-65 hadi miaka 45-50.
Lengo ni kupisha wengine nao wafaidi national cake ili kupunguza umaskini mtaani, kama umeajiriwa kwa miaka 15 hadi 20 ni dhahiri ushatengeneza msingi wa maisha una haki kabisa ya kupisha wwngine nao watengeneze future za maisha yao.
So, na-set mfumo wa elimu ambao mpaka msomi anafikisha miaka 25 mpaka 30 awe tayari amesha-graduate na nampa ajira alafu akifikisha miaka 45-50 namstaafisha ili kupisha wengine nao waajiriwe wapate mishahara waboreshe maisha yao na familia zao.
Kwa kiasi kikubwa hapa nitapunguza tatizo la wasomi wengi kukosa ajira.
2️⃣ Nisingeruhusu mtu yeyote kuwa na ajira zaidi ya moja au kupewa ajira nyingine baada ya kustaaafu; Nimeona huu upuuzi ukiwepo sana, watu wana zaidi ya ajira moja na wanakula mishahara tofauti, au mtu anastaafu kazi yake alafu anateuliwa tena kwenye zingine, mfano MABEYO.
Huku ni kunyima fursa kwa wasomi wengine kuchukua nafasi, huu upuuzi kama siwezi kufanya kwenye serikali yangu.
3️⃣ Ningepunguza muda wa elimu shuleni; Mfumo wetu wa elimu ni wa miaka mingi sana kiasi kwamba tunazekea shuleni na huu ni mfumo wa kipuuzi.
Ni kawaida kwa kwa wenzetu wazungu kukuta profesa ana miaka 25 mpaka 30, ila kwa sisi Tanzania mpaka uje uwe profesa tayari una miaka 50+ kama siyo 60+.
Hii yote ni kwa sababu tunaumizana wenyewe kwa wenyewe kwenye mfumo wetu wa elimu tukiamini kukaa miaka mingi shuleni ndiyo kuelimika.
Mimi ningepunguza kabisa mfumo wa elimu wa kukaa shule miaka mingi, mfano elimu ya msingi ningepunguza kuanzia primary kutoka miaka 9 iwe 7 pekee, sekondary O-level kutoka miaka 4 iwe mitatu pekee,A-level kutoka miaka miwili iwe mmoja pekee, Na degree miaka miwili tu badala ya 3+
Hii itasaidia vijana kuajiriwa wakiwa wadogo sana kwa hiyo hata nikim-staafisha akiwa na miaka 45-50 tayari atakuwa ashakaa kwenye ajira kwa miaka zaidi ya 20 inamtosha sana kupisha wengine nao waupunguze umaskini.
3️⃣ Mfumo wa elimu/topics ningebadilisha kabisa; Ningepunguza masomo shuleni maana kuna mengine hayana maana.
Mfano Kusoma historia za wakoloni haisaidii kitu chochote kwa uchumi wa nchi hii, Masomo ya sanaa yote ningeyaweka kuwa somo moja tena nachagua topic muhimu kwa ajili ya kufunza uzalendo tu.
Haya mengine ya sayansi na Vocational training ndiyo ningeyafanya kuwa kipa umbele zaidi.
Ningehakikisha mwanafunzi anaanza form one akiwa na combination ya masomo matatu pekee wala haina haja ya kusubiri mpaka Advanced level.
unakuta mwanafunzi wa O-level anasoma mzigo wa masomo 9 hadi 12, huu ni upuuzi usiyo na maana yeyote zaidi ya kuwa mzigo tu kwa mtoto.
Mimi ningekuwa Rais combination zingeanzia form one na ni Sayansi tupu na Vocation Training kwa wale wasiotaka Sayansi.
Trust me hii nchi itafika mbali kwa vizazi vijavyo, hatutakuwa tunafata matibabu India wala mainjinia CHINA.
4️⃣Ningefuta allowances zote ambazo wakuu wa nchi huwa wanapewa; Hapa sina hakika sana ila huwa nasikia kwamba, Kuanzia kwa Waziri mkuu kwenda juu, viongozi hawa waki-staafu huendelea kulipwa asilimia 80% ya mishahara yao iliyokuwa ikilipwa walipokuwa madarakani.
Sasa huu ni mfumo wa kipuuzi na kishetani, huwezi kunambia kwamba Rais, makamu au waziri mkuu atashindwa kuendesha maisha yake baada ya kutoka mamlakani mpaka uendelee kumlipa asilimia 80% ya mshahara wake wa zamani tena.
Huku ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi watanzania, nafuta hizi allowances zikafanye kazi zingine za msingi, na pia niliona eti rahisi akistaafu anajengewa nyumba na kukubidhiwa na serikali (hii nilishuhudia Magufuli akimkabidhi Mwinyi nyumba mpya eti kwa sababu katiba inaelekeza hivo).
Mimi huu upuuzi sifanyi, kama ulishindwa kujenga nyumba yako kwa mshahara wako ulivyokuwa madarakani basi usitegemee nitoe pesa za watanzania nikujengee wewe nyumba, lazima matumizi mabaya ya pesa kama haya niyazui ili kusudi pesa ziende kufanya mambo ya msingi kwa maslahi ya Watanzania.
5️⃣Ningefuta Bunge lisiwepo kabisa; Wengi tunadhani kwamba Uwepo Bunge ni msaada mkubwa kwa nchi, ila mimi nawaambia kama Rais atakuwa mwadilifu wala haina haja ya kuwa na wawakilishi (Bunge).
Binafsi nikiwa madarakani nafuta kabisa Bunge lisiwepo, maana linakula tu pesa ila kazi ya msingi hasa halina.
Bunge kwa mwaka linatumia mabilioni ya pesa, mimi ningelifuta Bunge alafu hizo pesa zilizokuwa zinatumika kwa ajili ya Bunge nazielekeza kwenye huduma za wananchi kama Hospitali na miundo mbinu mingine muhimu.
6️⃣ Katiba ya nchi naitupa chooni siku hiyo hiyo nitakayoingia madarakani; Katiba yetu ya nchi ya sasahivi siyo katiba bali ni taka taka, haifai kabisa kwa nchi yetu ya sasa maana kuna mambo ya hovyo sana mle.
Ningetengeneza Baraza la mawaziri dogo tu (Kila wizara na msaidizi wake basi) na hao ndiyo wangekaa na mimi Rais tutunge Katiba+Sheria yenye mambo ya msingi tu.
7️⃣ Huwezi kugombea rais kama hujapita jeshini kwa angalau miaka 10; Wanasiasa wengi Wamekuwa majizi kwa.sababu hawajui nini maana ya Uzalendo.
Mimi naamini jeshi pekee.ndiyo linaweza kufundisha uzalendo, Kwa hiyo napitisha sharia kali kabisa kuwa ukitaka kuwa Rais au waziri inabidi upite jeshini kwa angalau miaka 10 ili ufunzwe nini maana ya Uzalendo na ukija kuingia madarakani basi uwe mzalendo kisawa sawa na mchapa kazi haswa.
Tuna majizi wengi sana kwenye siasa ambayo yametokea tu mtaani hayajawahi kufunzwa uzalendo.
Nna Mambo mengi ya kuongea/kufanya ni-summarize tu kuwa nitabadili mambo mengi sana, Wafungwa wote gerezani nawaachia huru kabisa alafu naanzisha mfumo mpya wa magereza kwa ajili ya mafisadi tu kama kina JK,Membe,Ridhiwan n.k nawasweka ndani mpaka waseme kwanini hii nchi waliifanya kuwa ya familia, na muda huo nawafilisi mmoja baada ya mwingine.
Hakutakuwa na hukumu ya Maisha gerezani, kifungo kirefu itakuwa miaka 10 tu gerezani isipokuwa kwa mafisadi.
Sina muda wa kufunga majambazi gerezani, jambazi yeyote anaetumia bunduki itakuwa ni kupiga risasi na kuua hakuna kufunga gerezani.
Uchumi ukikaa vizuri hakuna mwanachi atakaelipa kodi maana hii nchi ina rasilimali nyingi sana, kodi watalipa wafanya biashara wakubwa kama kina Mo,Bakressa na wengine.
Nitakuwa tayari kufa na kutoa maishani yangu kama sadaka kwa Watanzania.
Nna mengi ila mengine nitayaongezea kwenye comment zenu.
Bila kusahau MASHOGA nitawapiga risasi live kama wanyama wa kuwinda, huwezi kuwa shoga mimi Rais nikuache uwe hai.
Moderators naombeni msiufute huu ujumbe.
Nawasilisha.
Adui mkubwa ni yule ambae hataki mimi nijitegemee, ambae ni mataifa mapigaji ya kibepari especially US and Europe.Katika yote uliyoandika kwamba utafanya mabadiliko hakika sijaona hata moja litakalofanikiwa. Umeangalia uongozi wa nchi kwa nje tu jinsi mambo yanavyofanyika yakadhihiri lakin kwa mdani kuna msukumo mkubwa wa viongozi kufanya hata wasioyapenda na kuyataka.
Katika malengo yako hakuna "kujitegemea kiuchumi" AMIN AMIN NAKUAMBIWA hakuna maamuzi yako kama hauna uchumi imara.
Ndo u-struggle kuwa shoga na lesbian.Wakati wenzake wanastrugle kuwa globalists yeye alikuwa wapi? Hii statement yako inaonesha kuna wengine wenye nguvu zaidi kuliko huyo kichaa wako.
Ni kawaida ya wapumbavu kama wewe kutoa povu kama hizi. Mnajulikana.Ndo u-struggle kuwa shoga na lesbian.
Fala kweli we na hao watandawazi wenzako
Ni kawaida ya wapumbavu kama wewe kutoa povu kama hizi. Mnajulikana.
UsisahaAdui mkubwa ni yule ambae hataki mimi nijitegemee, ambae ni mataifa mapigaji ya kibepari especially US and Europe.
Kwa sababu wanavuna kwetu kwa hiyo natambua fika kabisa kuwa hawa ndiyo watakuwa maadui wangu wa kwanza maana hawatapenda nitalachokifanya kwa mustakabali wa maisha bora ya watanzania.
Najua jinsi walivyo haribu uchumi wa Zimbambwe kwa maslahi yao tu binafsi, Libya pia n.k.
Lakini mimi naamini tukiungana tunaweza kabisa, kwani wachina waliwezaje mbona miaka ya 1960's uchumi wa China na TZ ulikuwa almost sawa tu ?
Hii nchi inahitaji kiongozi Mzalendo na mwenye maamuzi magumu kuliko hata alivyokuwa magufuli.
Mimi naamini ukiwa na vision nzuri na wananchi wayaona matunda mbona watakuunga tu mkono.
Yaani nitaifungia hii nchi kama kisiwa kwa muda wa miaka kadhaa kwanza hata simu na magari hamtaagiza China na Japan kwanza alafu najenga vituo vingi vya sayansi na technolojia nione kama ndani miaka 15-20 kama hamjaanza kutengeneza magari yenu wenyewe na kuunda cm zenu wenyewe
Usisahau kufuta ujinga wa kurudia watu walewale kwenye uongozi wa juu wenye watu mil62 kwa sasa lakin kila siku niAdui mkubwa ni yule ambae hataki mimi nijitegemee, ambae ni mataifa mapigaji ya kibepari especially US and Europe.
Kwa sababu wanavuna kwetu kwa hiyo natambua fika kabisa kuwa hawa ndiyo watakuwa maadui wangu wa kwanza maana hawatapenda nitalachokifanya kwa mustakabali wa maisha bora ya watanzania.
Najua jinsi walivyo haribu uchumi wa Zimbambwe kwa maslahi yao tu binafsi, Libya pia n.k.
Lakini mimi naamini tukiungana tunaweza kabisa, kwani wachina waliwezaje mbona miaka ya 1960's uchumi wa China na TZ ulikuwa almost sawa tu ?
Hii nchi inahitaji kiongozi Mzalendo na mwenye maamuzi magumu kuliko hata alivyokuwa magufuli.
Mimi naamini ukiwa na vision nzuri na wananchi wayaona matunda mbona watakuunga tu mkono.
Yaani nitaifungia hii nchi kama kisiwa kwa muda wa miaka kadhaa kwanza hata simu na magari hamtaagiza China na Japan kwanza alafu najenga vituo vingi vya sayansi na technolojia nione kama ndani miaka 15-20 kama hamjaanza kutengeneza magari yenu wenyewe na kuunda cm zenu wenyewe
Unaona kuna umuhimu wa spika na Bunge kwa sababu tayari una wazo negative kwa serikali kuwa haitokuwa adilifu kwenye uwajibikaji wake.Usisaha
Usisahau kufuta ujinga wa kurudia watu walewale kwenye uongozi wa juu wenye watu mil62 kwa sasa lakin kila siku ni
Marope, miguu, et all .
Tenganisha utendaji wa wananch na serikali.
Kuwe na mfumo mwingne wa kupata mawaziri ili mbunge aweze kumsema vizuri na kumchukulia maamuzi waziri.
Usisahau pia spika ni muwakilishi wa wananchi akiwa spika anasemea wapi yale anayotumwa na wananch wake ? Weka utaratibu tofauti wa kupata spika.
Rudisha somo la historia ya Tanzania alilotaka kutengeneza jiwe likaondoka zake bila maelezo wala usuli.
Na mengne mengi. BUT USIACHE KUNITEUA KUWA WAZIRI WA ELIMU BADO NNA LA KUFANYA KWENYE HII NCHI YA WATANGANYIKA.