Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Ndivyo ilivyo katika nafsi yangu kwa muda mrefu sana katika anga za siasa za Tanzania.
Freeman Mbowe kwangu mimi hajawahi kuwa na ushawahi wa aina yoyote ile, sio mpigania haki wala uhuru. Binafsi Imani yangu tangu enzi hizo najua Mbowe anafanya biashara ya siasa kupitia chama cha siasa yaani Chadema.
Nawapa pole watu wote wenye Imani na Freeman Mbowe na Chadema yake.
Siku hizi wanasiasq wanakemea uovu kisharobaro na kinyolonyolo.
Tuna upinzani ushuzi wanaoishi kwenye ghetto la popobawa.
Karibu ulingoni tubutue kwenye ulingo wa akili
Wadiz
Freeman Mbowe kwangu mimi hajawahi kuwa na ushawahi wa aina yoyote ile, sio mpigania haki wala uhuru. Binafsi Imani yangu tangu enzi hizo najua Mbowe anafanya biashara ya siasa kupitia chama cha siasa yaani Chadema.
Nawapa pole watu wote wenye Imani na Freeman Mbowe na Chadema yake.
Siku hizi wanasiasq wanakemea uovu kisharobaro na kinyolonyolo.
Tuna upinzani ushuzi wanaoishi kwenye ghetto la popobawa.
Karibu ulingoni tubutue kwenye ulingo wa akili
Wadiz