MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Tazizo lenu majukumu ya Wanaharakati mnayapeleka kwa Wanasiasa. Wanasiasa ni wafanya biashara wenye 'mamlaka' na interest tofauti tofauti kupitia ushawishi wa makundi ya watu wanaowaongoza. Wanaharakati walimalizwa na kitu kinachoitwa 'Demokrasia'.
Ila wewe pia kama unategemea 'upinzani' ukupambanie kwenye jambo unalohisi ni haki yako basi unahitaji kupimwa akili, upinzani ni tawi mchepuko la serikali, wenye uwezo wa kuwa na upinzani thabiti ni wananchi. Kama wewe na mimi tumeridhika na hali iliyopo unataka upinzani ufanye nini?? upigane kwaajili yetu??!!
Ila wewe pia kama unategemea 'upinzani' ukupambanie kwenye jambo unalohisi ni haki yako basi unahitaji kupimwa akili, upinzani ni tawi mchepuko la serikali, wenye uwezo wa kuwa na upinzani thabiti ni wananchi. Kama wewe na mimi tumeridhika na hali iliyopo unataka upinzani ufanye nini?? upigane kwaajili yetu??!!