MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
ChawamaIngia chimbo wewe mwenyewe iwapo umeona mapungufu na uache kulialia.
Watu wamejifunza kitu kuhusu Mbowe kule TangaMbowe kapitiliza.uungwana ..nadhani mwenyekiti angekua Lema tungemfurahia .juzi kanikwaza sana Mbowe kutuliza ghasia...angeacha tu kama haoni..
Zipo baadhi ya nchi chache sana Zina Chaguzi za Siasa zilizo huru, Mfano hai ni nchi ya Afrika ya Kusini.
Endelea kuwa na Imani na Makonda, Nape na January.Ndivyo ilivyo katika nafsi yangu kwa muda mrefu sana katika anga za siasa za Tanzania.
Freeman Mbowe kwangu mimi hajawahi kuwa na ushawahi wa aina yoyote ile, sio mpigania haki wala uhuru. Binafsi Imani yangu tangu enzi hizo najua Mbowe anafanya biashara ya siasa kupitia chama cha siasa yaani Chadema.
Nawapa pole watu wote wenye Imani na Freeman Mbowe na Chadema yake.
Siku hizi wanasiasq wanakemea uovu kisharobaro na kinyolonyolo.
Tuna upinzani ushuzi wanaoishi kwenye ghetto la popobawa.
Karibu ulingoni tubutue kwenye ulingo wa akili
Wadiz
Mbowe ni very smart katika siasa za Tanzania na ukitaka kujua hilo angalia namna alivyo pika vijana ambao wengi aliwatoa vyuoni na kuwatengeneza hadi ccm wakawachukua na kuwapa madaraka, Ccm kama kawaida wamejaribu sana kumdhoofisha na hizi kelele zote ni kwasababu ccm wameshindwa wanataka Mbowe atoke ili waweke pandikizi lao ambalo watakuwa wanaliburuza watakavyo unaweza kuona kwenye vyama vingine namna wanavyo kunja mkia kwa ccm.Mbowe hana akili zenye uwakilishi mtambuka ana nadharia za ukipepeo. Na akiwa Tanga kwenye msiba wa kibao amedhihiri hilo, hawezi kuitisha press conference after every three days kupigania haki na uhai wa waliopotea.
Mbowe anapenda camera na amehodhi uzito wote, you can see Tundu Lisu amekosa airtime ya kutosha yenye platform ya kichama kuongelea mambo mazito.
Siku Lisu akiamua kuwa mpinzani mwenye Chama chake ama ahamie chama kingine Chadema itakuwa kama NLD
zingatia msingi na malengo ya kuanzishwa kwa chama chenyewe anacho kiongoza kiongozi huyo, ndipo sasa unaweza kugundua anaongoza taasisi ya kijamii, chama cha siasa au ni chember of commerce?🐒Ndivyo ilivyo katika nafsi yangu kwa muda mrefu sana katika anga za siasa za Tanzania.
Freeman Mbowe kwangu mimi hajawahi kuwa na ushawahi wa aina yoyote ile, sio mpigania haki wala uhuru. Binafsi Imani yangu tangu enzi hizo najua Mbowe anafanya biashara ya siasa kupitia chama cha siasa yaani Chadema.
Nawapa pole watu wote wenye Imani na Freeman Mbowe na Chadema yake.
Siku hizi wanasiasq wanakemea uovu kisharobaro na kinyolonyolo.
Tuna upinzani ushuzi wanaoishi kwenye ghetto la popobawa.
Karibu ulingoni tubutue kwenye ulingo wa akili
Wadiz
Kiu yako ulitaka yatokee machafuko Tanga zaidi eti, vijana wa watu maskini wamekuja kumsindikiza mzee wao aliyeuawa kinyama na majingili wa serikali. Vijana wana uchungu na hasira wanataka kumtafuna Masauni mbele ya mbwa wake waliokua wamebeba kila aina ya silaha wawatawanye vijana wale kama kuku wa mdondo wakimtetea bosi wao. Vijana waliokua hawajabeba hata sindano ya kuwasaidia katika vurumai hilo. Kesho nyie nyie muwe wa kwanza kumvictimize Mbowe kuwa ndio chanzo cha mauwaji na kwamba alikua na nafasi kubwa ya kuzuia kadhia hiyo huku akisubiri utaratibu mwingine?Ndivyo ilivyo katika nafsi yangu kwa muda mrefu sana katika anga za siasa za Tanzania.
Freeman Mbowe kwangu mimi hajawahi kuwa na ushawahi wa aina yoyote ile, sio mpigania haki wala uhuru. Binafsi Imani yangu tangu enzi hizo najua Mbowe anafanya biashara ya siasa kupitia chama cha siasa yaani Chadema.
Nawapa pole watu wote wenye Imani na Freeman Mbowe na Chadema yake.
Siku hizi wanasiasq wanakemea uovu kisharobaro na kinyolonyolo.
Tuna upinzani ushuzi wanaoishi kwenye ghetto la popobawa.
Karibu ulingoni tubutue kwenye ulingo wa akili
Wadiz
Ulitaka juzi kwenye msiba avue shati siyo!! awahamasishe vijana wamtimue na kumdhalilisha Masauni msibani then ww ungeridhika kwamba Mh. Mbowe ni Jembe.
Amekaa kimchongoNi ngumu sana kumuamini bwana yule