Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Huyu jamaa kweli alikuwa tapeli aliyewasha taa haikuhitaji mwanga kumuona. Ni tapeli, muhuni afu Lina kejeri na jeuri za kishamba
Hasomi hata Biblia wala kutumia mifano kwa kusoma neno la Biblia mpaka ibada inaisha yeye mda wote yupo busy kufanya maigizo ya kutoa mapepo na kuleta ushahidi wa uongo
Wenzako Akina Mwamposa, Gwajima, Mwakasege, Lusekelo na Antony hawajionyeshi angalau wanazugia kwa biblia. Sasa wewe hata biblia huna rafiki angu 🤣🤣🤣🤣
Hasomi hata Biblia wala kutumia mifano kwa kusoma neno la Biblia mpaka ibada inaisha yeye mda wote yupo busy kufanya maigizo ya kutoa mapepo na kuleta ushahidi wa uongo
Wenzako Akina Mwamposa, Gwajima, Mwakasege, Lusekelo na Antony hawajionyeshi angalau wanazugia kwa biblia. Sasa wewe hata biblia huna rafiki angu 🤣🤣🤣🤣