Sijawahi ona kura ya uchaguzi ikipigwa wazi

Sijawahi ona kura ya uchaguzi ikipigwa wazi

lyinga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2013
Posts
2,496
Reaction score
1,057
Ndugu zangu tunapozungumzia utaifa hembu tuweke ushabiki wa vyama pembeni na kuuvaa uzalendo jamani siku zoote mbinguni na duniani inajulikana chaguzi salama na zahaki huwa zinafanyika kwa siri kuondoa migongano ambayo inaweza kujitokeza mbeleni na ndio maana hata mwenyezi Mungu akaweka kifo kuwa siri hembu fikiria ungekuwa unaambiwa utakufa kesho saa fulani na dakika kadhaa dunia ingekuwaje?

Kwa nini suala upigaji kura wa siri inawatia hofu baadhi ya vigogo wa ccm kwamba ndio itakuwa mwisho wa ufalme wao wa uongozi waliojiwekea?

Nini kibaya walichokifanya wanahofia wakiondoka madarakani historia itawahukumu? Jamani tunawaomba nyie wabunge wa ccm msituharibie katiba yetu sisi wananchi ndio tuliyoitaka kwa mustakabali mzuri wa nchi yetu tunaomba msiingize ushabiki wa chama kwenye mustakabali wa wananchi kama hamna nia mbaya na sisi wananchi tuachieni kura ya siri ambayo pasina shaka haina mawaa mbona kwenye kuchagua marais , wabunge, na madiwani huwa hampigi kelele kura za wazi kuna nini hapa kimejificha?
 
Wabunge wa ccm hawako huru hata kidogo, wanapelekwapelekwa tu na jk na ccm yake, shame on them! Mchakato huu wa katiba unavurugwa na ccm pamoja na jk!
 
Eee Mungu wa mbingu na nchi naomba jicho lako liangalie Dodoma na Sikio lako lielekeze hapo kwenye Bunge la Katiba,tazama kuna watu wanataka kutuharibia kuandikwa katiba itakayo tufaa sisi Watanzania tuliopo sasa na vizazi vijavyo kwa maslahi yao wenyewe ,sasa ukamhukumu kila atakaye tenda uovu huu na hukumu hii ikadumu mpaka kizazi cha nne cha uzao wake,siku zao zikawe chache,upanga,ukiwa na uharibifu vikawaandame usiku na mchana.

Kwa vile wamejitukuza sana wanaona wao ndo kila kitu eeeh Bwana kumbuka ulichomtendea Mfalme Nebukadreza mpaka alipokiri aliye juu ndiye anaye miliki na kutawala,mkono wako ukaunyoshee juu yao na familia zao mpaka watakapo jua wao ni wanadamu tu tena ni mavumbi na wewe ubaki kuheshimiwa mbinguni na duniani tena mkono wako ulionyooshwa mwanadamu hawezi kuurudisha nyuma,na atakayetoa wazo lake katika kuharibu mchakato huu hapo bungeni ahesabiwa sawa na yule aigusaye mboni ya jicho lako eeh Bwana na kuwa amesimama kinyume ya kila neno lililo jema mabaya yasiondoke hemani mwake siku zote za maisha yake ya kuishi duniani.
 
Ndugu zangu tunapozungumzia utaifa hembu tuweke ushabiki wa vyama pembeni na kuuvaa uzalendo jamani siku zoote mbinguni na duniani inajulikana chaguzi salama na zahaki huwa zinafanyika kwa siri kuondoa migongano ambayo inaweza kujitokeza mbeleni na ndio maana hata mwenyezi Mungu akaweka kifo kuwa siri hembu fikiria ungekuwa unaambiwa utakufa kesho saa fulani na dakika kadhaa dunia ingekuwaje?

Kwa nini suala upigaji kura wa siri inawatia hofu baadhi ya vigogo wa ccm kwamba ndio itakuwa mwisho wa ufalme wao wa uongozi waliojiwekea?

Nini kibaya walichokifanya wanahofia wakiondoka madarakani historia itawahukumu? Jamani tunawaomba nyie wabunge wa ccm msituharibie katiba yetu sisi wananchi ndio tuliyoitaka kwa mustakabali mzuri wa nchi yetu tunaomba msiingize ushabiki wa chama kwenye mustakabali wa wananchi kama hamna nia mbaya na sisi wananchi tuachieni kura ya siri ambayo pasina shaka haina mawaa mbona kwenye kuchagua marais , wabunge, na madiwani huwa hampigi kelele kura za wazi kuna nini hapa kimejificha?

Tusitake kuiga kila kitu wazungu, hâta sisi tunaweza kubuni vya kwetu!,

Katika hili Bunge la Katiba, KURA lazima iwe WAZI. Kwanini ufiche kura na katiba yetu wote, Kuna wasaliti Wa taifa na tunataka tuwajue.

NAUNGA MKONO HOJA KURA ZIPIGWE HADHARANI.
 
Tusitake kuiga kila kitu wazungu, hâta sisi tunaweza kubuni vya kwetu!,

Katika hili Bunge la Katiba, KURA lazima iwe WAZI. Kwanini ufiche kura na katiba yetu wote, Kuna wasaliti Wa taifa na tunataka tuwajue.

NAUNGA MKONO HOJA KURA ZIPIGWE HADHARANI.


Halafu tukishawajua hao wasaliti ndiyo itakuwaje sasa?
 
Naona vizazi vijavyo kwa jinsi tunavyoindesha nchi kwa sasa watakuja fukua mafuvu yetu wafanye utafiti kama tulikuwa na akili timamu au mamento freshi walikuwa wengi mbunge olle sendeka keshawambia ccm ikikubali kura za siri basi itakuwa ndio mwisho wao sasa swali linakuja kama walitutendea haki wananchi wana hofu gani ya kuanguka ? Mngekuwa mnataka kuwa tofauti na nchi nyingine hata bajeti zetu tungezipeleka wenyewe ili tuwe mfano kama nia ndio hiyo tuna madeni mpaka mtoto mchanga anadaiwa halafu unadai unataka kuwa mfano acheni unazi kura halali na ya haki isiyo na mawaa ni ya siri acheni unafki.
 
Tusitake kuiga kila kitu wazungu, hâta sisi tunaweza kubuni vya kwetu!,

Katika hili Bunge la Katiba, KURA lazima iwe WAZI. Kwanini ufiche kura na katiba yetu wote, Kuna wasaliti Wa taifa na tunataka tuwajue.

NAUNGA MKONO HOJA KURA ZIPIGWE HADHARANI.

m..p..u..m..b..a..vu ww ungekua na mawazo ya ugunduzi au kutoiga si ungeshagundua hata ndege
 
Tusitake kuiga kila kitu wazungu, hâta sisi tunaweza kubuni vya kwetu!,

Katika hili Bunge la Katiba, KURA lazima iwe WAZI. Kwanini ufiche kura na katiba yetu wote, Kuna wasaliti Wa taifa na tunataka tuwajue.

NAUNGA MKONO HOJA KURA ZIPIGWE HADHARANI.

Msen-ge mkubwa wewe.
 
Kutaka kura ya waz ni kubaka demokrasia ,uwazi ni kuruhusu mobpsychology, naomba uhuru uwepo kwa kupiga kura ya siri
 
Tusitake kuiga kila kitu wazungu, hâta sisi tunaweza kubuni vya kwetu!,

Katika hili Bunge la Katiba, KURA lazima iwe WAZI. Kwanini ufiche kura na katiba yetu wote, Kuna wasaliti Wa taifa na tunataka tuwajue.

NAUNGA MKONO HOJA KURA ZIPIGWE HADHARANI.
Na sisi tutakaokuja kuipigia kura hiyo rasimu tupige kura ya wazi au ya siri?
Napendekeza wabunge wapige kura ya siri kuamua kama kura iwe ya wazi au ya siri, matokeo yatakayopatikana ndiyo utakuwa uamuzi wa jumla.
 
tangu chama kimoja mpaka sasa vyama vingi sijawai kuona kura ya wazi,kwa kweli ccm hawana haibu kungangania hii kura ya wazi, hata wanapoambiwa tupinge kura kama tulivyozea kuchagua kura ya wazi au ya siri hawataki.alafu cha ajabu wanasema tupitishe vifungu vingine kwanza,hivyo vifungu vingine tutavipitisha kwa kura za namna gani? kimsingi vifungu vyote tumeishavipitisha kilichobaki hapa ni namna ya kuifikia maamuzi kupitisha kanuni zote kwenye bunge hilo,sasa kama ccm wanataka kura ya wazi na sisi wananchi tutapigaje kura ya wazi watuekee kwanza jambo hili.ngoja tuwasikie watatuambia nini maana sasa hivi wanaingia bungeni
 
Jamani, tusilazimishe kura ya wazi halafu wananchi tunataka wapige kura ya siri! mbona watu wanatumia sana ma-kalio kufikiri kwanini lakini! Mtu anasimama adai kura iwe ya wazi lakini ukimuangalia machoni unaona kabisa anaongea kinyume na anachokiamini katika maisha yake, mweee!
 
Mwisho wa dunia mambo haya yatajitokeza (bibilia)kura ya wazi,uongo kuwa ukweli
 
Tusitake kuiga kila kitu wazungu, hâta sisi tunaweza kubuni vya kwetu!,

Katika hili Bunge la Katiba, KURA lazima iwe WAZI. Kwanini ufiche kura na katiba yetu wote, Kuna wasaliti Wa taifa na tunataka tuwajue.

NAUNGA MKONO HOJA KURA ZIPIGWE HADHARANI.

Ccm Kiboko ,kwa mini mnataka kuvuruga mambo?uliona wapi kura ikawa wazi?democrasia ya kweli lazima kura iwe siri,.ma Mara zote kura huwa no siri ya mpigaji. Huo mfumo wa uwazi mmeutoa wapi nyie ccm??mnata using wenu utuletee katika ya kichama sio?? Ccm wapumbavu sana .
 
Inauma sana hasa ninapoyaona haya yanatokea, naona jinsi gani ccm imetudanganya kipindi kirefu, ila hakuna lenye mwanzo lisiwe na mwisho, na ole wako mwisho wako ufike wakati haujiandaa ...

Nawaombeni sana ccm ng'ang'anieni sana kula ya wazi na sisi wananchi tutaitaka kula ya wazi kwenye uchaguzi 2015..
 
Ndugu zangu tunapozungumzia utaifa hembu tuweke ushabiki wa vyama pembeni na kuuvaa uzalendo jamani siku zoote mbinguni na duniani inajulikana chaguzi salama na zahaki huwa zinafanyika kwa siri kuondoa migongano ambayo inaweza kujitokeza mbeleni na ndio maana hata mwenyezi Mungu akaweka kifo kuwa siri hembu fikiria ungekuwa unaambiwa utakufa kesho saa fulani na dakika kadhaa dunia ingekuwaje?

Kwa nini suala upigaji kura wa siri inawatia hofu baadhi ya vigogo wa ccm kwamba ndio itakuwa mwisho wa ufalme wao wa uongozi waliojiwekea?

Nini kibaya walichokifanya wanahofia wakiondoka madarakani historia itawahukumu? Jamani tunawaomba nyie wabunge wa ccm msituharibie katiba yetu sisi wananchi ndio tuliyoitaka kwa mustakabali mzuri wa nchi yetu tunaomba msiingize ushabiki wa chama kwenye mustakabali wa wananchi kama hamna nia mbaya na sisi wananchi tuachieni kura ya siri ambayo pasina shaka haina mawaa mbona kwenye kuchagua marais , wabunge, na madiwani huwa hampigi kelele kura za wazi kuna nini hapa kimejificha?
Ni vizuri usimwingize Mungu wa kweli kwenye ushabiki wako.hawapigi kura ya kumchagua mtu awe mumeo au mkeo. Wabunge wanapiga kura ya Wazi kuonyesha maoni na misimamo yao.Bunge la Jamhuri limepiga kura za aina hii mara nyingi.Marikani hufanya hivyo kila mara.Umoja wa Mataifa ndivyo wanavyopiga kura.ukiona hupiga kura kwa kubonyeza vitufe uelewe vitufe hivyo huweka rekodi jinsi kila nchi ilivyopiga kura.ndio sababu unasikia Marekani au Urusi imepiga kura ya turufu.kwa ufupi kura ya siri katika mambo ya sera aina hii ni uhuni mtupu
 
Back
Top Bottom