Tusitake kuiga kila kitu wazungu, hâta sisi tunaweza kubuni vya kwetu!,
Katika hili Bunge la Katiba, KURA lazima iwe WAZI. Kwanini ufiche kura na katiba yetu wote, Kuna wasaliti Wa taifa na tunataka tuwajue.
NAUNGA MKONO HOJA KURA ZIPIGWE HADHARANI.
tangu chama kimoja mpaka sasa vyama vingi sijawai kuona kura ya wazi,kwa kweli ccm hawana haibu kungangania hii kura ya wazi, hata wanapoambiwa tupinge kura kama tulivyozea kuchagua kura ya wazi au ya siri hawataki.alafu cha ajabu wanasema tupitishe vifungu vingine kwanza,hivyo vifungu vingine tutavipitisha kwa kura za namna gani? kimsingi vifungu vyote tumeishavipitisha kilichobaki hapa ni namna ya kuifikia maamuzi kupitisha kanuni zote kwenye bunge hilo,sasa kama ccm wanataka kura ya wazi na sisi wananchi tutapigaje kura ya wazi watuekee kwanza jambo hili.ngoja tuwasikie watatuambia nini maana sasa hivi wanaingia bungeni
najua ccm inawakilisha wengi na ndio chama tawala kilichounda serikali,ila ninachoongea mimi,tangu chama kimoja mpaka sasa kura zote upigwa kwa siri sijaona ya waziKwani umeona kura ngapi za Katiba.usijishibishe upepo.kwanza ufahamu ccm inatuwakilisha wananchi tulio wengi.wananchi ni zaidi sana ya wana JF wanajiita majina ya siri
Mbona unajipinga mwenyewe! Nani mwoga,Hii siyo aibu ya CCM tu ni aibu yetu sote kwasababu mtu mwenye akili timamu utaileza vipi! Hii imenikumbusha tukio jingine kama hilo wakati huo KANU chini ya Arap Moi wanatawala Kenya! Walianzisha kura ya mlolongo ambako wapiga kura wakijipanga nyuma ya mgombea!!
Inawezekana Mungu hakupanga Kikwete na CCM yake wasimamie kuandikwa kwa Katiba mpya ambayo itahakisi kwa kiwango kikubwa maoni ya wananchi. KANU na Moi walipoteza fursa hiyo kwa mawazo ya kijima kama tunavyo waona CCM.
Chama ambacho kinafanya chaguzi za siri kuwachagua viongozi wake ktk ngazi zote leo kinaogopa kura ya siri ktk jambo nyeti kabisa,KATIBA! Ni aibu kubwa sana. Ni kuishiwa na kufirisika kwa hoja kwa hali ya juu! Nchi nyingine Jeshi lisingesubiri waendele kuharibu pesa za wananchi!!!
Ccm Kiboko ,kwa mini mnataka kuvuruga mambo?uliona wapi kura ikawa wazi?democrasia ya kweli lazima kura iwe siri,.ma Mara zote kura huwa no siri ya mpigaji. Huo mfumo wa uwazi mmeutoa wapi nyie ccm??mnata using wenu utuletee katika ya kichama sio?? Ccm wapumbavu sana .
najua ccm inawakilisha wengi na ndio chama tawala kilichounda serikali,ila ninachoongea mimi,tangu chama kimoja mpaka sasa kura zote upigwa kwa siri sijaona ya wazi
Naona unapotoka kwa kuingiza mambo ya jeshi. Pili, jielimishe. Kura ya maamuzi ya Bunge popote ni ya wazi. Kura ya kumchagua mtu ndiyo ya siri. Mambo mawili tofauti kabisaHii siyo aibu ya CCM tu ni aibu yetu sote kwasababu mtu mwenye akili timamu utaileza vipi! Hii imenikumbusha tukio jingine kama hilo wakati huo KANU chini ya Arap Moi wanatawala Kenya! Walianzisha kura ya mlolongo ambako wapiga kura wakijipanga nyuma ya mgombea!!
Inawezekana Mungu hakupanga Kikwete na CCM yake wasimamie kuandikwa kwa Katiba mpya ambayo itahakisi kwa kiwango kikubwa maoni ya wananchi. KANU na Moi walipoteza fursa hiyo kwa mawazo ya kijima kama tunavyo waona CCM.
Chama ambacho kinafanya chaguzi za siri kuwachagua viongozi wake ktk ngazi zote leo kinaogopa kura ya siri ktk jambo nyeti kabisa,KATIBA! Ni aibu kubwa sana. Ni kuishiwa na kufirisika kwa hoja kwa hali ya juu! Nchi nyingine Jeshi lisingesubiri waendele kuharibu pesa za wananchi!!!
Nakuomba utazame tena maandishi yako. Yametofautisha kura ya maamuzi ya Bunge na kura ya kumchagua mtu. Hilo ndilo jibu. Ni vitu viwili tofauti. Popote ulimwenguni, kura ya maamuzi ya Bunge ni ya wazi, na ya kumchagua mtu ni siri.Ndugu zangu tunapozungumzia utaifa hembu tuweke ushabiki wa vyama pembeni na kuuvaa uzalendo jamani siku zoote mbinguni na duniani inajulikana chaguzi salama na zahaki huwa zinafanyika kwa siri kuondoa migongano ambayo inaweza kujitokeza mbeleni na ndio maana hata mwenyezi Mungu akaweka kifo kuwa siri hembu fikiria ungekuwa unaambiwa utakufa kesho saa fulani na dakika kadhaa dunia ingekuwaje?
Kwa nini suala upigaji kura wa siri inawatia hofu baadhi ya vigogo wa ccm kwamba ndio itakuwa mwisho wa ufalme wao wa uongozi waliojiwekea?
Nini kibaya walichokifanya wanahofia wakiondoka madarakani historia itawahukumu? Jamani tunawaomba nyie wabunge wa ccm msituharibie katiba yetu sisi wananchi ndio tuliyoitaka kwa mustakabali mzuri wa nchi yetu tunaomba msiingize ushabiki wa chama kwenye mustakabali wa wananchi kama hamna nia mbaya na sisi wananchi tuachieni kura ya siri ambayo pasina shaka haina mawaa mbona kwenye kuchagua marais , wabunge, na madiwani huwa hampigi kelele kura za wazi kuna nini hapa kimejificha?
Hivi mkuu bado mnafikiri ni kile kipindi cha zidumu fikra sahihi sijui za nani!!??? Bado mnafikiri watanzania ni wa kudanganywa katika karne hii???Naona unapotoka kwa kuingiza mambo ya jeshi. Pili, jielimishe. Kura ya maamuzi ya Bunge popote ni ya wazi. Kura ya kumchagua mtu ndiyo ya siri. Mambo mawili tofauti kabisa
Nakuomba utazame tena maandishi yako. Yametofautisha kura ya maamuzi ya Bunge na kura ya kumchagua mtu. Hilo ndilo jibu. Ni vitu viwili tofauti. Popote ulimwenguni, kura ya maamuzi ya Bunge ni ya wazi, na ya kumchagua mtu ni siri.