Sijawahi onana na mwanaJF yoyote physically

Sijawahi onana na mwanaJF yoyote physically

Kwa moyo mkunjufu kabsa nimeamua kuachana name wazo hili, bora tubaki tu hivi hivi tuendelee na maisha yetu jf kama kawa bt tupo pamoja sana ndugu zangu
 
jaribu kuwauliza marafiki zako kama ni members humu. hutakosa mmoja. kutokea hapo utaendelea kuwajua wengine. kuna pia wanaotumia majina yao halisi. wako wengi.

mzamifu kwa maneno ya humu kuweka jina lako inabidi uwe mstaarabu sana
 
------ nn!!uonane nae ili iweje!! Kuna member wana more than 10 yrs hajawahi hata kuomba kuonana na member sembuse weye!! Hapa cha msingi ni kutoa hoja na kupata majibu from greater thinkers na si vinginevyo. Ama kweli JF imevamiwa


Mkuu JF yenyewe haijafikisha miaka 10 huyo member gani mwenye more than 10 years humu jamvini
 
siku utajakuta hua mnajadili na dingi yako utumbooooo
 
nimekua member wa humu jamvini almost zaid ya mwaka bt cjawahi mfaham memba yoyote kwa kumuona I wish nionane hata name mmoja turn isijekua hua nachart na maroboti, cc illovo, smart911, Evelyn salt, Hathrony, na wengineo

Alafu ukimuona?
 
Mimi naitwa Richard Mugizi.

Nina miaka 82.

Sina mke, mtoto, wala mjukuu.

Kwetu ni Same.

Ningependa kukutana na wewe fizikale.
 
Binafsi nilishaonana na wanajf wa 4 na mmoja kati yao sasa ni marehemu ambae ni M. Mtoi (R.I.P)
 
------ nn!!uonane nae ili iweje!! Kuna member wana more than 10 yrs hajawahi hata kuomba kuonana na member sembuse weye!! Hapa cha msingi ni kutoa hoja na kupata majibu from greater thinkers na si vinginevyo. Ama kweli JF imevamiwa

Correction: Hakuna member mwenye zaidi ya miaka 10, JF imeanzishwa 2006-2007.
 
Correction: Hakuna member mwenye zaidi ya miaka 10, JF imeanzishwa 2006-2007.

asante kwa kumpa ukwel asee maana watu wengine hujifanya kila kitu wanajua wao
 
Na je taarifa za matukio yanayowakumba members huwa zinajulikanaje kwa moods mpaka sisi tunapata posts? Mfano vifo vya M.Mtoi,Watu8 n.k
 
Back
Top Bottom