Sijawai kujihusisha na mapenzi, haya ndio matatizo ninayopata sasa

Sijawai kujihusisha na mapenzi, haya ndio matatizo ninayopata sasa

Kwenye uzi wako wa uber ulisema ulipona coz hukuwahi kua mwanachama wa chaputa.

Huu uzi wako wa 2019 ulikua na kadi, which is which??
Ipi ni chai hii au ile??
Mtata

Nimecheka Sana unamkumbusha kwamba akiwa mwongo ahakikishe kumbukumbu zake za uongo hazifutiki
 
Ukawa unanya romance unamwaga, ulilelewa kwenye mazingira ya kumcha Mungu. How comes?

Mwanamke hakuwa akipenda sex, akakuambia weekend lazima msex amemiss, alimiss nini?

Ulipoiona k nzuri imetuna ukakojoa, ulijuaje kuwa ni nzuri? Kwani uliwahi kuiona kabla kiasi cha kulinganisha uzuri? Are you a porn addict?

Ngoja nikuambie, acha kusema hujawahi kusex kabisa, sema ulikuwa ukifanya sex kupitia romance mpaka unakojoa. Punyeto hilo. Kisaikolojia ndivyo ulivyojijenga, hivyo unahitaji smsaada wa kisaikojlojia kurekebisha hiyo hali. Chastity ni kutofanya vitendo vyovyote vya kimapenzi mpaka ndoa, sasa hayo ya kukojozana ni nini?
great thinker
 
Uzi wa 2019 now tuko 2023 bila shaka Camanda wangu yuko vizuri, tukiwaambia vijana waanzw kula pussy wakiwa wadogo wanatudharau. Kila kitu kinataka uzoefu, alisema ataandika uzi namna alivyopona.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] 𝐬𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐢𝐯𝐢 𝐩𝐮𝐬𝐬𝐲 𝐧𝐢 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐦𝐤𝐮𝐮 𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐢𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐯𝐢𝐛𝐚𝐲𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐢𝐚 𝐤𝐚𝐬𝐰𝐞𝐧𝐝𝐞 𝐬𝐮𝐠𝐮
 
Uzi wa 2019 mpaka sasa bado ana tatizo hilohilo? Uyo anakuwa na tatizo la kuzaliwa sasa. Huyu mwamba yuko real sana wengi wana ID tofauti za kuelezea shida zao,
Wewe unajuaje kama ni tatizo la kuzaliwa au sio?
 
Back
Top Bottom