Sijawai kujihusisha na mapenzi, haya ndio matatizo ninayopata sasa

Kwenye uzi wako wa uber ulisema ulipona coz hukuwahi kua mwanachama wa chaputa.

Huu uzi wako wa 2019 ulikua na kadi, which is which??
Ipi ni chai hii au ile??
Mtata

Nimecheka Sana unamkumbusha kwamba akiwa mwongo ahakikishe kumbukumbu zake za uongo hazifutiki
 
great thinker
 
Uzi wa 2019 now tuko 2023 bila shaka Camanda wangu yuko vizuri, tukiwaambia vijana waanzw kula pussy wakiwa wadogo wanatudharau. Kila kitu kinataka uzoefu, alisema ataandika uzi namna alivyopona.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ๐ฌ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฌ๐š๐ข๐ฏ๐ข ๐ฉ๐ฎ๐ฌ๐ฌ๐ฒ ๐ง๐ข ๐ฉ๐ž๐ฌ๐š ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ง๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ž๐ง๐๐š ๐ฏ๐ข๐›๐š๐ฒ๐š ๐ฎ๐ญ๐š๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ฅ๐ข๐š ๐ค๐š๐ฌ๐ฐ๐ž๐ง๐๐ž ๐ฌ๐ฎ๐ ๐ฎ
 
Uzi wa 2019 mpaka sasa bado ana tatizo hilohilo? Uyo anakuwa na tatizo la kuzaliwa sasa. Huyu mwamba yuko real sana wengi wana ID tofauti za kuelezea shida zao,
Wewe unajuaje kama ni tatizo la kuzaliwa au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ