Sijawai kujihusisha na mapenzi, haya ndio matatizo ninayopata sasa

Kijana kula vitunguu swaumu kutwa mara tatu na maji mengi afu baada ya wiki lipa tena lodge elfu 30 afu leta feedback
 
Mnakwama wapi wazee wa kazi, wengine tunaeza control bao la kwanza likachelewa hata kwa 30 mins ilimradi bebe aridhike kwanza kisha ndio tufyatue.

Ila demu nikiwa simpendi huwa sijizuii chap tu natikisa nyavu nipite zangu na mia!
 
Ukawa unanya romance unamwaga, ulilelewa kwenye mazingira ya kumcha Mungu. How comes?

Mwanamke hakuwa akipenda sex, akakuambia weekend lazima msex amemiss, alimiss nini?

Ulipoiona k nzuri imetuna ukakojoa, ulijuaje kuwa ni nzuri? Kwani uliwahi kuiona kabla kiasi cha kulinganisha uzuri? Are you a porn addict?

Ngoja nikuambie, acha kusema hujawahi kusex kabisa, sema ulikuwa ukifanya sex kupitia romance mpaka unakojoa. Punyeto hilo. Kisaikolojia ndivyo ulivyojijenga, hivyo unahitaji smsaada wa kisaikojlojia kurekebisha hiyo hali. Chastity ni kutofanya vitendo vyovyote vya kimapenzi mpaka ndoa, sasa hayo ya kukojozana ni nini?
 
Hivi mnawezaje kwenda round zote hizo. Yani unaendaje Round 8 hamlali between sessions ama?
 
Baada ya kutumia hizi kitu ulipata matokeo gani

 
Hii mambo solution namba moja ni kumweleza huyo manzi na manzi amuelewe na amsaidie

Nakumbuka skuli nilikuwa mtata sana wa nyeto yani naweza piga hata 12 za mkono kwa siku

Advance nilipataga dem ila kabla ya kumla nilimfungukia tu kama me ni fundi wa nyeto mzuri tu kwaio nkamweleza nini cha kutegemea siku ya game..Akanielewa na alinipa ushirikiano game ya kwanza..kuanzia pale zilizofata ni moto tu sijawahi haribu kazi
 

Sikuwai tumia. Nashukuru Mungu sahv show naipeleka moto vizuri
 
Hzo ndio nguvu za kiume halisi...tatzo ni mazoea..ndomana wenzio tulianza piga jalamba na sabuni halaf ndo tukaingia mchezon...angalia sana porn uzoee k..tatzo ubongo haujazoea k...

Enz zangu nakumbuka nilikua wazungu haraka sana na nilikua nauwezo wa kuunganisha had mishindo miwil au mitatu..yaan unaachia manii na mashine hailali unaendelea na cha pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…