4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Chadema ni chuo Cha viongozi , tunao wa kutosha, ni MAAMUZI tu yupi awe Rais wa tz 2025 ,pitia Chama chao pendwa CHADEMA2025 sio? mnataka tuwasaidie mgombea tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ni chuo Cha viongozi , tunao wa kutosha, ni MAAMUZI tu yupi awe Rais wa tz 2025 ,pitia Chama chao pendwa CHADEMA2025 sio? mnataka tuwasaidie mgombea tena?
Sasa sijui nyie mtakuja na yupi ? Ili tumpe kipigo kitakatifu ,mapema tu, hamchelewi kumleta POLEPOLE, Huyo au wa aina iyo kampen,hatufanyi2025 sio? mnataka tuwasaidie mgombea tena?
MIMI SIJAWAHI ONA JAMII FORUM MEMBER MPUUZI NA MJINGA KAMA WEWE....😃😃😃🤣🤣🤣😁😁😁✋✋Sio siri kwa sasa CHADEMA imechoka imechoka, imebaki inaendeshwa twitter na Hilda Newton na John Pambalu
Wanavizia Rais aseme kitu wadandie tumaneno twa kuchambua,
CHADEMA imekwisha ndugu zangu😀😀😀😀😀
Nawasihi CHADEMA mkae chini mjiulize kwanza mnakwama wapi, hawa akina Newton hawana hata uwezo wowote wa kuishawishi jamii
Kwa hali mliyonayo sasa kuiangusha CcM ni ndoto za mwendawazimu
Asanteni
Sasa sijui nyie mtakuja na yupi ? Ili tumpe kipigo kitakatifu ,mapema tu, hamchelewi kumleta POLEPOLE, Huyo au wa aina iyo kampen,hatufanyi
Chadema ni chuo Cha viongozi , tunao wa kutosha, ni MAAMUZI tu yupi awe Rais wa tz 2025 ,pitia Chama chao pendwa CHADEMA
Kuna zile ccm 2020 umevalisha watoto wa shule jezi za ccm , baada ya kutangaza kuwasha mitambo tafadhali mkuu tupia nayoView attachment 1921421
unamaanisha kipigo kama hiki?
Viongozi wa faragha ni wapi hao mkuuviongozi wa faragha
Hayo ni madhara ya kupambana na LEGACY YA MAGUFULI SASA RAIA WAMEWATOSASio siri kwa sasa CHADEMA imechoka imechoka, imebaki inaendeshwa twitter na Hilda Newton na John Pambalu
Wanavizia Rais aseme kitu wadandie tumaneno twa kuchambua,
CHADEMA imekwisha ndugu zangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nawasihi CHADEMA mkae chini mjiulize kwanza mnakwama wapi, hawa akina Newton hawana hata uwezo wowote wa kuishawishi jamii
Kwa hali mliyonayo sasa kuiangusha CcM ni ndoto za mwendawazimu
Asanteni
HUYO TUMESHAMPA JINAVile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1920999
si hao wa chama chenuViongozi wa faragha ni wapi hao mkuu
sasa kama hawana adabu utawaacha?
Una uhakika gani wamebambikiwa kesi mbona mnaingilia uhuru wa mahakama subiri sio nyie kuleta ushabiki wa kisiasa kama ameonea mahakama itaamuaHaaa ingekuwa umechoka Viongozi wake Wangebambikiziwa KESI?
WANGEKAMATWA?
WANGEZUIWA KUFANYA MIKUTANO?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kuna zile ccm 2020 umevalisha watoto wa shule jezi za ccm , baada ya kutangaza kuwasha mitambo tafadhali mkuu tupia nayo
Haaa ingekuwa umechoka Viongozi wake Wangebambikiziwa KESI?
WANGEKAMATWA?
WANGEZUIWA KUFANYA MIKUTANO?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Malipo ni hapa hapa duniani, jamaa anatimba kwenye debe kwa kwenda mbeleMbowe alipomtukana Hayati magufuli kwa kila aina ya matusi nilitarajia hili litakuja na karma haitawaacha
Mara mnasema Chadema imekufa, lakini kila siku nyie ni kulia na Chadema, why not ACT?Sio siri kwa sasa CHADEMA imechoka imechoka, imebaki inaendeshwa twitter na Hilda Newton na John Pambalu
Wanavizia Rais aseme kitu wadandie tumaneno twa kuchambua,
CHADEMA imekwisha ndugu zangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nawasihi CHADEMA mkae chini mjiulize kwanza mnakwama wapi, hawa akina Newton hawana hata uwezo wowote wa kuishawishi jamii
Kwa hali mliyonayo sasa kuiangusha CcM ni ndoto za mwendawazimu
Asanteni
Hawezi kikujibuMara mnasema Chadema imekufa, lakini kila siku nyie ni kulia na Chadema, why not ACT?
umekalia kigogo halafu unasema hamna kituBora umewaambia. Wabishi lakini ukweli CHADEMA imechoka ile mbaya. Haina uongozi