Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuwa bize kuuza mafuta na maji ya upako, lakini wao wanahusika vp na majanga ya kitaifa?Hawa jamaa nadhani walitakiwa pale ghorofani ili wafanye jambo la muhimu sana, sijawaona, au ratiba zimewabana?
Ndo kina nani?Hawa jamaa nadhani walitakiwa pale ghorofani ili wafanye jambo la muhimu sana, sijawaona, au ratiba zimewabana?
wakafufue waliokufa nakuombea wapone waliopata majeraha hapo vipi umeelewa au mpk upigwe kwenzi la kisogo akili i Loading...Walikuwa bize kuuza mafuta na maji ya upako, lakini wao wanahusika vp na majanga ya kitaifa?
Mwamposa ni kidampa sawa na kiboko ya wachawiRoho wa Bwana hajawaongoza kuhusu kufika pale.
Wabongo wapo kiroho sana, zamu hii walikua wanajiombea wenyewe na boss alikua anaombea remotely akisubiri mwaliko rasmi ili atoe invoice, time is money banaHawa jamaa nadhani walitakiwa pale ghorofani ili wafanye jambo la muhimu sana, sijawaona, au ratiba zimewabana?
Kiroho inakata huku na kule hakuna kitu inashindwa😂Roho wa Bwana hajawaongoza kuhusu kufika pale.
Ni mpaka wafunuliwe😂Kiroho inakata huku na kule hakuna kitu inashindwa😂
Yani hapa kwenye kiroho ndipo kuna kiini kikuu cha utapeli 😂Ni mpaka wafunuliwe😂
Ndiyo ratiba zimewabana hawawezi kuacha kupiga hela za kondoo waende kupoteza muda pale wale wapo kibiashara zaidiHawa jamaa nadhani walitakiwa pale ghorofani ili wafanye jambo la muhimu sana, sijawaona, au ratiba zimewabana?