Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasikia huko “nilitaka kwenda ila nikasikia sauti ya roho wa bwana inaniambia nisiende kwa sababu hamna kitu ningeweza kufany”Yani hapa kwenye kiroho ndipo kuna kiini kikuu cha utapeli 😂
Ikiwekwa na sauti ya kukoroma kidogo kondoo wanatumbua macho kama mbuzi wa pasaka🚮Utasikia huko “nilitaka kwenda ila nikasikia sauti ya roho wa bwana inaniambia nisiende kwa sababu hamna kitu ningeweza kufany”
😂😂😂😂Ikiwekwa na sauti ya kukoroma kidogo kondoo wanatumbua macho kama mbuzi wa pasaka🚮
Usicheke nina dada yangu, ukimtumia tu pesa anai forward kwa namba ya nabii😭😂😂😂😂
Jamani ndio kashageuzwa zoba😔😔😔.Usicheke nina dada yangu, ukimtumia tu pesa anai forward kwa namba ya nabii😭
Hawashauriki kabisa , ila unaona ni bora utume tu ili apate furaha yake🤔Jamani ndio kashageuzwa zoba😔😔😔.
Na watu wa namna hiyo hawashauriki