Sijazoea Unafiki naitakia Kila Ia Kheri Klabu yangu pendwa ya Club Africaine kwa Mkapa Leo

Sijazoea Unafiki naitakia Kila Ia Kheri Klabu yangu pendwa ya Club Africaine kwa Mkapa Leo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ninachojua Marehemu Leo anaogeshwa Dar es Salaam (Tanzania) na Maziko yake yatafanyika rasmi Jijini Tunis (Tunisia) tarehe 9 Novemba, 2022.

R.I.P Marehemu wa Kubebwa Tanzania NBC Premier League na ukiwa huko usiache kumuombea Mpiganaji Mkuu ambaye huwa anakubeba mara kwa mara na Mkali wa Michuano (Mechi) za Kimataifa Tanzania nzima.
 
Tupo pamoja utopwax
ila mkifungwa nahamia club yangu ya utotoni
 
نویسنده متوقنحطنسسکوکطوییقثحثخقخقخقتتطوطوطوkibwana shomari متیویتزویقتیتزویثتث[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]mochwari
WABILAH taifik habib club Africain [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji517][emoji517][emoji517]
 
Ninachojua Marehemu Leo anaogeshwa Dar es Salaam (Tanzania) na Maziko yake yatafanyika rasmi Jijini Tunis (Tunisia) tarehe 9 Novemba, 2022.

R.I.P Marehemu wa Kubebwa Tanzania NBC Premier League na ukiwa huko usiache kumuombea Mpiganaji Mkuu ambaye huwa anakubeba mara kwa mara na Mkali wa Michuano (Mechi) za Kimataifa Tanzania nzima.
Nakuona jamaa yangu Popoma! Unajikuna kwapa mbele za watu, halafu unanusa!
 
Leo Professor Nabi ameamua kuwa mzalendo leo
 
Unajua hawa jamaa zetu wa pale panapojaaga maji msimu wa masika, wanajua kimataifa kama kucheza na bongo msoto fc sijui🤔
Sasa leo sisi kama club Africain tumekubaliana hii game tunaimaliza kipindi cha kwanza tu!!
 
Maneno haya angeandika mwingine hapa tayari ungeanza kupiga mayowe kuwa ni lugha isiyostaha lakini ukiandika wewe poa fu.
Kwa hiyo kujikuna kwapa na kunusa, ni tusi kwa mtazamo wako! Au ni sawa na yale maneno yako!!

Yeye mtoa mada kuifananisha Yanga na marehemu, ni sahihi kabisa!!
 
Kikosi cha kwanza cha club africain.....hatuna majeruhi hata mmoja.

١ محميد على
٢ رشيد بن سعيد
٣ سليمان بن محمد
٤. محمد منصور
٥ عمران حسين
٦ عيسى بن سلطان
٧ حالس عيوب
٨ ياسن ساالم
٩ سمير ناسر
١٠ فهد حسين
١١ عبدالله إبن خزيم

Substitute.

١ ناصر حماد
٢ شبرات امير
٣. سعيد مولد
٤. جمعة شاكر
٥. مصطفى سعود
٦. علي جابر
٧. ياسر كريم

Kila la heriii chama letuuuu
 
Kikosi cha kwanza cha club africain.....hatuna majeruhi hata mmoja.

١ محميد على
٢ رشيد بن سعيد
٣ سليمان بن محمد
٤. محمد منصور
٥ عمران حسين
٦ عيسى بن سلطان
٧ حالس عيوب
٨ ياسن ساالم
٩ سمير ناسر
١٠ فهد حسين
١١ عبدالله إبن خزيم

Substitute.

١ ناصر حماد
٢ شبرات امير
٣. سعيد مولد
٤. جمعة شاكر
٥. مصطفى سعود
٦. علي جابر
٧. ياسر كريم

Kila la heriii chama letuuuu
Mbona gaucho wao wakuitwa "Khalid " simuoni jamaa apigaga chenga za mwili yule
 
Uto wakifuzu makundi ni yale makundi yao rasmi asemayo luc eymael makundi ya manyani na mambwa ya kubweka bweka hovyo
 
alhabib Malibu tu Dubai

NB; nashangilia Africa in toka 1999
 
Ninachojua Marehemu Leo anaogeshwa Dar es Salaam (Tanzania) na Maziko yake yatafanyika rasmi Jijini Tunis (Tunisia) tarehe 9 Novemba, 2022.

R.I.P Marehemu wa Kubebwa Tanzania NBC Premier League na ukiwa huko usiache kumuombea Mpiganaji Mkuu ambaye huwa anakubeba mara kwa mara na Mkali wa Michuano (Mechi) za Kimataifa Tanzania nzima.
Nenda kaishangilie APR ndo size yao. Hao Waarabu hawakujui
 
Back
Top Bottom