balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Alinipigia simu na kuniulizia habari za JF, tukafahamiana. Alidai anaishi Mbagala Dar akanipa namba ya simu na ya kwangu alikuwa nayo.
Baada ya hapo sikumpigia na yeye hakuwahi kupiga tena, hadi leo sijui alikuwa ni nani. Aliniambia angependa kukutana na Bujibuji.
Je, ni nani mtu huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya hapo sikumpigia na yeye hakuwahi kupiga tena, hadi leo sijui alikuwa ni nani. Aliniambia angependa kukutana na Bujibuji.
Je, ni nani mtu huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app