balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Andika vizuri! Umeishia darasa la ngapi kwani? tusije kukulaumu bure!Alinipia simu na kuniulizia habari za jf,tukafahamiana .Alidai anaishi Mbagala dsm akanipa namba ya simu na ya kwangu alikuwa nayo.Baada ya hapo sikumpigia na yeye hakuwa kupiga tena,hadi leo sijui alikuwa ni nani.Aliniambia angependa kukutana na Bujibuji.Je,ni nani mtu huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nilishia la nne B,kule kwetu Shitimbi.Andika vizuri! Umeishia darasa la ngapi kwani? tusije kukulaumu bure!
Kama umeandika ya kwamba mlifahamiana! basi huna sababu za kutuuliza huyo ni nani!
Ulifanikiwa kumgonga? je ndoto ilipoisha hukutapika? Sasa kama nambari yake uko nayo si umpigie simu umuulize kuliko kuja tuuliza sie hapa? basi weka nambari yake ya simu tukusaidie kumuuliza.Alinipigia simu na kuniulizia habari za JF, tukafahamiana. Alidai anaishi Mbagala Dar akanipa namba ya simu na ya kwangu alikuwa nayo.
Baada ya hapo sikumpigia na yeye hakuwahi kupiga tena, hadi leo sijui alikuwa ni nani. Aliniambia angependa kukutana na Bujibuji.
Je, ni nani mtu huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikukutana naye mkuu,alikuwa na mabo mengi ,mara ananiita mpenz,mara simu haipatkan nilipofuta namba yake naye hakupiga tena.Ulifanikiwa kumgonga? je ndoto ilipoisha hukutapika? Sasa kama nambari yake uko nayo si umpigie simu umuulize kuliko kuja tuuliza sie hapa? basi weka nambari yake ya simu tukusaidie kumuuliza.
Sense...mkuu umenena.Andika vizuri! Umeishia darasa la ngapi kwani? tusije kukulaumu bure!
Kama umeandika ya kwamba mlifahamiana! basi huna sababu za kutuuliza huyo ni nani!
Alinipigia simu na kuniulizia habari za JF, tukafahamiana. Alidai anaishi Mbagala Dar akanipa namba ya simu na ya kwangu alikuwa nayo.
Baada ya hapo sikumpigia na yeye hakuwahi kupiga tena, hadi leo sijui alikuwa ni nani. Aliniambia angependa kukutana na Bujibuji.
Je, ni nani mtu huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOT
nimecheck profile yako mkuu, ina maana hadi leo hujapata mke tu tangu uanze kutafuta ? Bado unatafuta mkuu? Funguka warembo wajitokeze