GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama kuna Jimbo ambalo endapo CHADEMA na Mgombea wao Halima Mdee 'watazichanga' Karata zao vizuri sana basi 'watashinda' mapema tu kutokana na 'Mgawanyiko' mkubwa uliopo basi ni la Kawe. Wale wana CCM mliokuwepo jana Kawe katika Kikao ( japo Mimi nilikuwa mbali na Jengo ) mtanielewa kwani 'Mazungumzo' makubwa ya jana yalikuwa ni Kazi ngumu ya Kumnadi Gwajima.
Sina tatizo na CCM 'Kumpitisha' Gwajima 'Kugombea' Jimbo la Kawe hasa ikizingatiwa kuwa ana 'Ushawishi' wake fulani fulani ( hasa wa Kiimani ) na pia ni 'Mzungumzaji' mzuri ambaye pia ana 'Utajiri' mkubwa sana wa kufanya 'Propaganga' na akafanikiwa. Ila kwa upande wa Pili wa Shilingi kuna 'Dhambi' mbili ambazo Gwajima anazo na kama CCM hawatazifanyia Kazi upesi Halima Mdee anashinda.
Kauli za Gwajima kuwa akiwa Mbunge atavifanya Vyuo vyote vya Kiislamu Kawe kuwa 'Sunday School' na ile Kauli yake ya 'Kumshambulia' Kadinali Pengo ambayo tunajua ndiyo 'Mzizi' Mkuu wa Wakatoliki nchini Tanzania ( na wa Kawe nao wakiwemo ) zisipofanyiwa Kazi mapema tena kwa Gwajima Mwenyewe Kujirudi, Kuzitengua na Kuomba Radhi ( Msamaha ) zinaweza Kumponza
CCM na Kamati Kuu yenu pamoja na 'Umakini' wenu mkubwa hadi kuwa na Madawati ya Usalama ndani ya Chama nashangaa na nimesikitika mno kuona ya kwamba 'Mapungufu' haya Mawili ya Gwajima ama hamkuyajua au mmeyapuuza kwa kudhani kuwa Kazi Kwake itakuwa ni rahisi. Na pia mlisahau kuwa kama kuna Jimbo lina wana CCM 'Wanafiki' basi la Kawe Tanzania nzima.
Yawezekana leo GENTAMYCINE nisieleweke nanyi ( wana CCM ) ila ninachojua wana CCM wengi Kawe kwa 'Hasira' zao ambazo huwa wanapenda mno Kuzionyesha katika 'Karatasi' zao za Kupigia Kura watampigia Mgombea wa CHADEMA Halima Mdee kama walivyofanya mwaka 2010 na 2015. Kuna 'Mgawanyiko' na 'Mpasuko' mkubwa sana ndani ya wana CCM wa Jimbo la Kawe.
Sina tatizo na CCM 'Kumpitisha' Gwajima 'Kugombea' Jimbo la Kawe hasa ikizingatiwa kuwa ana 'Ushawishi' wake fulani fulani ( hasa wa Kiimani ) na pia ni 'Mzungumzaji' mzuri ambaye pia ana 'Utajiri' mkubwa sana wa kufanya 'Propaganga' na akafanikiwa. Ila kwa upande wa Pili wa Shilingi kuna 'Dhambi' mbili ambazo Gwajima anazo na kama CCM hawatazifanyia Kazi upesi Halima Mdee anashinda.
Kauli za Gwajima kuwa akiwa Mbunge atavifanya Vyuo vyote vya Kiislamu Kawe kuwa 'Sunday School' na ile Kauli yake ya 'Kumshambulia' Kadinali Pengo ambayo tunajua ndiyo 'Mzizi' Mkuu wa Wakatoliki nchini Tanzania ( na wa Kawe nao wakiwemo ) zisipofanyiwa Kazi mapema tena kwa Gwajima Mwenyewe Kujirudi, Kuzitengua na Kuomba Radhi ( Msamaha ) zinaweza Kumponza
CCM na Kamati Kuu yenu pamoja na 'Umakini' wenu mkubwa hadi kuwa na Madawati ya Usalama ndani ya Chama nashangaa na nimesikitika mno kuona ya kwamba 'Mapungufu' haya Mawili ya Gwajima ama hamkuyajua au mmeyapuuza kwa kudhani kuwa Kazi Kwake itakuwa ni rahisi. Na pia mlisahau kuwa kama kuna Jimbo lina wana CCM 'Wanafiki' basi la Kawe Tanzania nzima.
Yawezekana leo GENTAMYCINE nisieleweke nanyi ( wana CCM ) ila ninachojua wana CCM wengi Kawe kwa 'Hasira' zao ambazo huwa wanapenda mno Kuzionyesha katika 'Karatasi' zao za Kupigia Kura watampigia Mgombea wa CHADEMA Halima Mdee kama walivyofanya mwaka 2010 na 2015. Kuna 'Mgawanyiko' na 'Mpasuko' mkubwa sana ndani ya wana CCM wa Jimbo la Kawe.