Huenda Pengo na waislamu walishamsamehe Gwajima hivyo hayo yameshapita, sasa tunaganga yajayo.
Kila laheri Askofu Gwajima na wagombea wengine wote.
Hahahahahahaha eti anatembelea wheelchair na kuinuka ghafla kwamba 'Mungu' wake kamfanyia miujiza.Anajiita kiongozi wa kiroho Tena Askofu mkuu lkn kinywa chake limejaa matusi na kashfa, Ni huyu huyu Gwajima aliye mshambulia Makonda Tena kwa kutumia madhabahu, Ni huyu huyu Gwajima aliyetoa Matusi makubwa akimshutumu Kadinali Pengo Tena ambayo hayakustahili kutolewa na kiongozi yeyote wa dini.
Gwajima hafai Tena Ni mzushi nilimuona baada ya kutoka polisi alipokuwa akihojiwa kwa kumtukana Kadinali Pengo ,alijifanya kuwa na maumivu yaliyo mpelekea kutumia baiskeli ya miguu miwili, lkn siku moja akiwa mbele ya wafuasi wake alinyanyuka ghafla kwa madai kuwa Mungu wake amemuona akiwa katika mateso hivyo amempatia nguvu na kusimama kutoka kwenye kiti huku akitembea hata bila ya kuchechemea.
Huyu jamaa anakinywakichafu hafaii kuwa kiongozi.
Gwajima ni msanii hata kwenye porn industry yupo.Hahahahahahaha eti anatembelea wheelchair na kuinuka ghafla kwamba 'Mungu' wake kamfanyia miujiza.
Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
Atakuwa anatumikia ubunge kwa kupitia kura za wizi, hivyo nayeye kama Askofu atakuwa ameshiriki wizi.Hata msipo mpa kura zenu ngwajima atashinda malaika watabadilisha kura zenu bwana asifiwe kiongozi kwa imani analindwa na Mungu
Kwani wewe ni mpiga kura wa Kawe?Mimi CCM, ila Gwajima hapana kabisaaa aiseee..
Nakubaliana na wewe 10000%Gwajima ni msanii hata kwenye porn industry yupo.
Askofu ataiba vipi? Ngwajima kashukiwa na roho mtakatifu akapewa kibali cha kuweza kuingia kwenye siasa aweze kuwapigania watu wa kaweAtakuwa anatumikia ubunge kwa kupitia kura za wizi, hivyo nayeye kama Askofu atakuwa ameshiriki wizi.
Tumnyime kura kabisa watu wa dini zote hatufaiAnajiita kiongozi wa kiroho Tena Askofu mkuu lkn kinywa chake limejaa matusi na kashfa, Ni huyu huyu Gwajima aliye mshambulia Makonda Tena kwa kutumia madhabahu, Ni huyu huyu Gwajima aliyetoa Matusi makubwa akimshutumu Kadinali Pengo Tena ambayo hayakustahili kutolewa na kiongozi yeyote wa dini.
Gwajima hafai Tena Ni mzushi nilimuona baada ya kutoka polisi alipokuwa akihojiwa kwa kumtukana Kadinali Pengo ,alijifanya kuwa na maumivu yaliyo mpelekea kutumia baiskeli ya miguu miwili, lkn siku moja akiwa mbele ya wafuasi wake alinyanyuka ghafla kwa madai kuwa Mungu wake amemuona akiwa katika mateso hivyo amempatia nguvu na kusimama kutoka kwenye kiti huku akitembea hata bila ya kuchechemea.
Huyu jamaa anakinywakichafu hafaii kuwa kiongozi.