Mawazo ya kijingaMsigwa aligombea sehemu yenye wakristo wengi. Hivyo dini yake haikuwa tatizo kwa wapiga kura wake.
Elezea kinaga ubaga, tofauti na hivyo itakuwa ni hisia zako na mahaba yako!Kwa jinsi kashfa za utapeli, uongo, mambo mbali mbali zinazo ibuliwa kwa mgombea wao hata kabla ya kampeni kuanza wamesha ona walifanya papara kumpitisha Gwajima.
Sasa hivi yale mambo ya kufufua watu, kumtukana Askofu Pengo, picha za ngono na kubadili madrasa za kiislamu kuwa Sunday schools ndio yanaibuliwa kwa nguvu sana hakuna mfano na muda wa kumsafisha hakuna. Ni bora hata wangempitisha mwenzetu Pascal Mayalla asiye na kashfa
Pia Wakristu hatutaki kusikia hata jina lake maana alimtukana Cadinal Pengo na kulidharau kanisa Katoliki.Waislamu hatumtaki gwajiboi kawe anampango wa kuufuta uislamu kwa kubadili madrasa kuwa sunday school.
Kawe wanao sisi wana CCM wengi tunaompinga Gwajima, tunapinga kupitishwa kwa Gwajima.Waache ujinga
Wanajifanya kama hawajui zile mbinu zetu za kuiba kura au zile za kuingiza masunduku ya kura ambazo zimeshapigwa.
Ccm tuna jeshi
Ccm tuna polisi
Ccm tuna mabunduki
Ccm tuna mabomu
Ccm tuna kila kitu
Hivi nyinyi
Wapinzani mna nini cha kujivunia.
Msipotupa kura zenu , tutaziiba kwa mabavu.
Acha fix wew nani amsamehe KAFIRI mkubwa!Huenda Pengo na waislamu walishamsamehe Gwajima hivyo hayo yameshapita, sasa tunaganga yajayo.
Kila laheri Askofu Gwajima na wagombea wengine wote.
Pascal ana elimu na ungwana wake, hahitaji kuishi maisha ya kinafiki.Sijui huyu ndugu na rafiki yetu anakwama wapi?
Kwanza ana tokea Kanda pendwa
Pili ana weledi ktk mambo mengi Sana.
Tatu anajulikana Sana.
Paskali ndugu yangu nn tatizo?
USHAURI: Wakati mwingine punguza ubize wa mambo yako uwe unaenda kushinda kwenye korido za Lumumba ukitafuta koneksheni.
Na-declare interest. Paskali ni role model wangu.
Sheia inamruhusu yeye kujitoaSheria sasa inatufunga,hatuwezi kubadili gear angani!Dah,hii ya mwaka.
Tutamshugulika asubuhi na mapema hatoamini .Mimi si Mkatoliki ila wakatoliki wengi wana misimamo thabiti linapokuja suala la kashfa na dharau kwa viongozi wao
Mungu anawaonaWaache ujinga
Wanajifanya kama hawajui zile mbinu zetu za kuiba kura au zile za kuingiza masunduku ya kura ambazo zimeshapigwa.
Ccm tuna jeshi
Ccm tuna polisi
Ccm tuna mabunduki
Ccm tuna mabomu
Ccm tuna kila kitu
Hivi nyinyi
Wapinzani mna nini cha kujivunia.
Msipotupa kura zenu , tutaziiba kwa mabavu.
Ikiwa unataka kuanza biashara ukafikiri kuwa wafanyakazi wako watakuibia unachojiandaa nacho ni namna ya kuwadhibiti. Ukiona hilo huwezi ushajiandaa kushindwa. Usilalamike, jiunge nao upinzani wape mbinu za kulinda kura zao. Wacha KWIO mapema. Tulia mpira dakika 90. Ukiotea kama refa hajaona hilo nalo goli. Faulu pia zipo. Mpira gani unaanza na wasiwasi oooh sijui nini. Ni dalili za kuambulia nunge.Ni wizi wa kura pekee ndio utamfanya Gwajiboy ashinde la si hivyo hana nafasi hata chembe katika jimbo hilo.
Hamna cha dhambi wala kitubio chake. Hizo zote ni dhana za kutengenezwa. Nani asiyejua kuwa Pengo alikosea? Na hakutukanwa aliulizwa swali. Aliulizwa amekula maharagwe gani?Hizi dhambi mbili za Gwajima za kumdhihaki Pengo na ndugu zetu Waislam kwa kweli kabla ya uchaguzi zitafutiwe dawa mapema otherwise mbeleni sijui itakuaje
Haya tuwekee na ile ya WaislamuAlimshambulia Askofu Pengo kama mtu binafsi, lakini alijidai hatambui mamlaka ya Askofu Pengo kikanisa, na alimtukana, mjinga na mpumbavu.
Let us call a spade a spade and not a big spoon. It is true he was a fool and stupid. Na hayo sio matusi.Alimshambulia Askofu Pengo kama mtu binafsi, lakini alijidai hatambui mamlaka ya Askofu Pengo kikanisa, na alimtukana, mjinga na mpumbavu.