Sijui kama hii nayo ni breaking news au vipi: Hatimaye JK avunja baraza lake!

Sijui kama hii nayo ni breaking news au vipi: Hatimaye JK avunja baraza lake!

Jamani,

Hii habari sio kweli, baraza la mawaziri haliwezi kuvunjwa saa sita usiku.

Nafikiri JF imeingiliwa na virus, inatakiwa tujitahidi kupata anti-virus vinginevyo JF itaharibika.


Halafu naona watu tunachangia tuuuu habari ambayo haina namna ya uthibitisho.....

Usiku huu tumtegemee JK avunje baraza la mawaziri?
 
MMhhh maswali ni mengi kuliko majibu mimi naamini ni uongo 100% Admin ondoa hii thread.
 
...kama ni kweli hii, then good mshkaji at least u'll win the 84 cents now!!! but i'm still waitin' for confirmation, mwanakijiji bro pse keep us posted!!
 
Tungesubiri kwanza ilo Tembo tuone kama limeiva sawa, badala ya kumshangilia mgema tusijue kama kalitia maji.
 
nyani !
kama kweli unataka kujua mkuu wee tembelea hizo sehemu nilizotaja, halafu ujionee !
wanawake hawafui dafu mbele ya wanaume katika kupika hizo sehemu !
 
from Kuvunja baraza hadi kupika pilau.. toka about wandering.. sasa Baraza likivunjwa kesho itakuwaje?
 
Kuna kuvunja na kubadilisha jaribuni kupambanua maneno au misemo miwili hiyo.Mtaona kitakachotokea sio kuvunja bali ni kubadilisha naona Muungwana anawashangaa kwa jinsi mnavyobadilisha ishuu.
 
mkjj...

kama unapenda MIRUNGI pls welcome ndugu,napasha kdg hapa na COCA.

KADA..........

vp ndugu wewe leo umeamkaje?huna wazo lolote?manake naona siku hizi JF members kila wakiamka wanakuja na mawazo mapya tu.
 
Nipo Lindi na ndio nimeamka,Habari hizi hazijathibitishwa na watu walio na Muungwana katika ziara hii,Labda kama habari imetolewa jana usiku sana Dar es salaam..Nafuatilia kwa ukaribu hapa,nitawapa taarifa...
 
duh ! basi kwa vyovyote wewe utakuwa Canada, au New Jersey, marekani ! maana huko ndio kuna wapishi wa pila wa kiume hodari !

hahahahahahaha teh teh

waungwanaa ee... tupatieni uthibitisho kama kweli baraza limevunjwa au la.. isije ikawa tunadandia mkuki kwa mbele. Habari hii imenifikia usiku na kwakuwa naiamini JF nikaamini na malaika wake pia

leteni uhakika ili tushushe bendera nusu mlingoti
 
Jamani baraza halijavunjwa.... ila wanafahamu jinsi watu wanavyosubiri kwa hamu.. ila kama itatokea subirini usiku wa Ijumaa..
 
loh sasa kwa sisi tuliowaamsha wakwe zetu usiku na kuwaambia kuwa baraza limekatika, nadhani mahari itaongezwa au tutanyang'anywa wake zetu.

nashukuru kwa taarifa mzee wa kijiji
 
Jamani baraza halijavunjwa.... ila wanafahamu jinsi watu wanavyosubiri kwa hamu.. ila kama itatokea subirini usiku wa Ijumaa..
Kuna majungu yamepikwa tayari na watendaji wa Ikulu ili baadhi ya watu wang'oke katika nafasi za uwaziri na Unaibu Waziri,Kwa taarifa fupi niliyopewa ni kwamba,JK atapitia upy hayo majina kabla ya kutangaza uteuzi wake,Kuna fununu baadhi ya Mawaziri waliotaka kungolewa,na wanajulikana wazi wanaweza kurudisha ili kulinda Umoja wa Chama cha Mapinduzi,Hususan suala la Mwandosya,
 
Kwa hiyo JK anasikiliza majungu? kwa nini asiwe na msimamo wake yeye kama Rais?
 
Back
Top Bottom