Sijui kama ni wivu au alinichoka

Shida yangu siyo kuomba ushauri isipokua najaribu kubadilishana stori kwenye hilijukwaa. Wala simulahumu mama wa mtt ,maana mwisho siku nivitu tumepitia kwenye maisha, na maisha yameendelea.
 
Ila kama ni mganga huyu kwa kweli mtu atapasuliwa tumbo badala ya kidole.
 
Eh, ndugu! Hii ni sentensi moja tu? Ina kituo kimoja tu, yaani pale mwisho!!
 
Eh, ndugu! Hii ni sentensi moja tu? Ina kituo kimoja tu, yaani pale mwisho!!
Najua wengi munaangalia muandiko mtililiko hiyo changamoto niliyo niyo, ndomaa nikasomea kazin isiyo taka mwandiko. hivyo ningumu kunibadiliaha ukielewa sawa usipo elewa tafutamutu akueleweshe maana wapo walio elewa zaidi yako.
 
UBARIKIWE mana kijana kachanganyikiwa hata kuandika anashindwa kwa stress
 
Shida yangu siyo kuomba ushauri isipokua najaribu kubadilishana stori kwenye hilijukwaa. Wala simulahumu mama wa mtt ,maana mwisho siku nivitu tumepitia kwenye maisha, na maisha yameendelea.
Mimi ninavyoona huenda mwanamke wako kapoteza uaminifu kwako, kwahiyo anahisi unahonga pesa unazopata ndio maana anakuwa anakasirishwa ukimwambia huna pesa
 
Kaishajua huwez ushi bila yeye. Huyi mwanamke atakurudisha nyuma sana achana nae, usijisumbue kumfata kwao wala kumtafta hapo vuta mwanamke mwingne uweke ndani kama unahisi uwez ishi bila mwanamke yeye mpotezee
 
Komando kipen chukua hii hapa ubandike juu ya ile yako. Aidha usisite kumshukuru huyu jamaa na umuombe kama alivyokusaidia, akusaidie tena kutafuta mwanamke anayejitambua ili uachane na nung'aembe lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…