Sijui kama ni wivu au alinichoka

Uliwahi kumuuliza alienda wapi alivyoondoka?

Tatizo kubwa hapo ni wewe mkuu yani unashindwa kujua kwamba huyo mwanamke hakufai...Piga chini

Pole mkuu kwa unayopitia na Mungu akufanyie wepesi
 
Kuna ka tatizo kwenye uandishi Ila pole sana mkuu
 
Itabdi mods wafanya replacement ya Uzi kwa Hii comment yako[emoji106]
 
Lugha imenyooka.Unafaa kuwa mwalimu au mtunzi wa riwaya za mapenzi."Ongela"!
 
Wewe ni.boya tena boya boya kinoma kama ni kweli hadi napata hasira kusoma hiki ulichoandika hapa
 
pole swala la mda atakaa sawa pigania mtoto akue visa kawaida bora huyo ana wivu anakupenda
 
Kuna wanaume mnaboa sana....sijui ndio uanaume nusu au vp. Jitu limekusumbua tangu mwanzo na bado ukaendelea kulizalisha?
 
As a man, don't take the role of savior; unless you're married to her and in a mutually beneficial long term relationship, it is not your responsibility to save her from herself. Women use a man's Savior Complex as a means to exploit him for his financial resources.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…