Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mwananke ukimkataza kutoka bado utachapowa tuNjia ya kuzuia kuchapiwa bado haijagundulika, we muamini tu
Ila wazee wetu walikua wanashinda na kakipande cha ngozi tu na watu wanaendelea na shughuli zao.......haya ya sasa uchawi tu
Kwenye hizi picha ulizotuma kuna mke wa mtu hata mmoja hapo?Mavazi haya ni ndoano ya kuvutia wanaume wengi kumuona mwanamke ni koloni lisilo na mtawala, kwamba bado yupo sokoni hana mme ama ana mme ila bado anataka attention ya wanaume wengine.
![]()
View attachment 2905324
View attachment 2905325
View attachment 2905326
View attachment 2905327
We utakua unaishi shinyanganyumba za siku hizi zimegeuka madangulo, mabinti, mama, dada, wanawake wote watokao nyumba zilizo nyingi ni MAKAHABA. Sifa ya kwanza ya kumjua kahaba/malaya ni VAZI LAKE na mengineyo...taifa la Tanzania limekuwa ni taifa la wazinzi na wahuni, tazama hata maofisini hasa ofisi za umma,,nyingi wanawake huvaa KIKAHABA, utadhani nchi haina dini wakati kila raia anajinasibu kumcha Mungu, sijui Mungu gani tunamcha
acha nikae shinyanga, nawe kakae na wazinzi wenzako hukoWe utakua unaishi shinyanga
Kwako ww mwanamke akitombwa na matajiri au wenye uwezo kifedha moyo wako kwatu ee. Huyo si malaya ee ila akitombwa na maskini huyo ni kahaba, siyoWanawake wanaovaa hivyo mara nyingi wanaakili nyingi na exposure kubwa na hawachapiki kizembe kama hawa wa magauni ambao hata bodaboda wanajipigia. Kumchapa dem wa hivi kama ni mke wa mtu ni hadi awe kakuelewa sana na uwe na akili kubwa au mkwanja mrefu kama anatamaa. Kwanza ukijichanganya anaweza kukuchana live ukaona nyotanyota hasa ukimuingia kizembe ukidhani kavaa hivyo ili umtongoze.
NB; Ni rahisi kumchapa dem mlokole kuliko kumchapa dem wa hivyo
Mbona unahasira kama umegongewa na bodaboda....nimesema kama anatamaa zake ndio inaweza kuwa ticket ya kugongwa. Ila sio kisa kavaa hivo ndo ujichanganye eti anataka kugongwa,utaumbukaKwako ww mwanamke akitombwa na matajiri au wenye uwezo kifedha moyo wako kwatu ee. Huyo si malaya ee ila akitombwa na maskini huyo ni kahaba, siyo
Wengi hawatakuelewa ila huu ni ukweliWanawake wanaovaa hivyo mara nyingi wanaakili nyingi na exposure kubwa na hawachapiki kizembe kama hawa wa magauni ambao hata bodaboda wanajipigia. Kumchapa dem wa hivi kama ni mke wa mtu ni hadi awe kakuelewa sana na uwe na akili kubwa au mkwanja mrefu kama anatamaa. Kwanza ukijichanganya anaweza kukuchana live ukaona nyotanyota hasa ukimuingia kizembe ukidhani kavaa hivyo ili umtongoze.
NB; Ni rahisi kumchapa dem mlokole kuliko kumchapa dem wa hivyo