Sijui kama nina wivu uliopitiliza lakini wanaume tuliooa unamwachaje mke wako atoke nje na vimini ama suruali / taiti zinazombana?

Sijui kama nina wivu uliopitiliza lakini wanaume tuliooa unamwachaje mke wako atoke nje na vimini ama suruali / taiti zinazombana?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Mavazi haya ni ndoano ya kuvutia wanaume wengi kumuona mwanamke ni koloni lisilo na mtawala, kwamba bado yupo sokoni hana mme ama ana mme ila bado anataka attention ya wanaume wengine.

1708022080993-png.2905323


1708022210266.png

1708022248504.png


1708022267221.png


1708022297498.png
 
nyumba za siku hizi zimegeuka madangulo, mabinti, mama, dada, wanawake wote watokao nyumba zilizo nyingi ni MAKAHABA. Sifa ya kwanza ya kumjua kahaba/malaya ni VAZI LAKE na mengineyo...taifa la Tanzania limekuwa ni taifa la wazinzi na wahuni, tazama hata maofisini hasa ofisi za umma,,nyingi wanawake huvaa KIKAHABA, utadhani nchi haina dini wakati kila raia anajinasibu kumcha Mungu, sijui Mungu gani tunamcha
 
Wanawake wanaovaa hivyo mara nyingi wanaakili nyingi na exposure kubwa na hawachapiki kizembe kama hawa wa magauni ambao hata bodaboda wanajipigia. Kumchapa dem wa hivi kama ni mke wa mtu ni hadi awe kakuelewa sana na uwe na akili kubwa au mkwanja mrefu kama anatamaa. Kwanza ukijichanganya anaweza kukuchana live ukaona nyotanyota hasa ukimuingia kizembe ukidhani kavaa hivyo ili umtongoze.
NB; Ni rahisi kumchapa dem mlokole kuliko kumchapa dem wa hivyo
 
nyumba za siku hizi zimegeuka madangulo, mabinti, mama, dada, wanawake wote watokao nyumba zilizo nyingi ni MAKAHABA. Sifa ya kwanza ya kumjua kahaba/malaya ni VAZI LAKE na mengineyo...taifa la Tanzania limekuwa ni taifa la wazinzi na wahuni, tazama hata maofisini hasa ofisi za umma,,nyingi wanawake huvaa KIKAHABA, utadhani nchi haina dini wakati kila raia anajinasibu kumcha Mungu, sijui Mungu gani tunamcha
We utakua unaishi shinyanga
 
Wanawake wanaovaa hivyo mara nyingi wanaakili nyingi na exposure kubwa na hawachapiki kizembe kama hawa wa magauni ambao hata bodaboda wanajipigia. Kumchapa dem wa hivi kama ni mke wa mtu ni hadi awe kakuelewa sana na uwe na akili kubwa au mkwanja mrefu kama anatamaa. Kwanza ukijichanganya anaweza kukuchana live ukaona nyotanyota hasa ukimuingia kizembe ukidhani kavaa hivyo ili umtongoze.
NB; Ni rahisi kumchapa dem mlokole kuliko kumchapa dem wa hivyo
Kwako ww mwanamke akitombwa na matajiri au wenye uwezo kifedha moyo wako kwatu ee. Huyo si malaya ee ila akitombwa na maskini huyo ni kahaba, siyo
 
Kwako ww mwanamke akitombwa na matajiri au wenye uwezo kifedha moyo wako kwatu ee. Huyo si malaya ee ila akitombwa na maskini huyo ni kahaba, siyo
Mbona unahasira kama umegongewa na bodaboda....nimesema kama anatamaa zake ndio inaweza kuwa ticket ya kugongwa. Ila sio kisa kavaa hivo ndo ujichanganye eti anataka kugongwa,utaumbuka
 
Wanawake wanaovaa hivyo mara nyingi wanaakili nyingi na exposure kubwa na hawachapiki kizembe kama hawa wa magauni ambao hata bodaboda wanajipigia. Kumchapa dem wa hivi kama ni mke wa mtu ni hadi awe kakuelewa sana na uwe na akili kubwa au mkwanja mrefu kama anatamaa. Kwanza ukijichanganya anaweza kukuchana live ukaona nyotanyota hasa ukimuingia kizembe ukidhani kavaa hivyo ili umtongoze.
NB; Ni rahisi kumchapa dem mlokole kuliko kumchapa dem wa hivyo
Wengi hawatakuelewa ila huu ni ukweli
NB: ndoa ni utapeli
Kataa ndoa
 
Back
Top Bottom