Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Msaga Sumu mkuuTatizo lako ni lugha tu na si kingine. Kwahiyo nakushauri sana uendelee kuwasikiliza kina Sholo Mwamba na ManFongo
Hapa ushauri kapata na saa kapewa.Tatizo lako ni lugha tu na si kingine. Kwahiyo nakushauri sana uendelee kuwasikiliza kina Sholo Mwamba na ManFongo
Umejipigia chapuo!Na Msaga Sumu mkuu
Nahisi hata yeye hajui hata kuna mtu anaitwa ngonyangoPamoja na umaarufu wake na ukubwa wa jina lake lakini huwa nyimbo za Vanessa Mdee huwa sizielewi kabisa...yaani hata ukiniuliza sasa hivi kama kuna nyimbo yake naiujua wala siwezi kukuambia manake hazinaga ujumbe unaoeleweka...nikifananisha na akina Nandy , Linah, Maua Sama,Lady JD na mademu wengine....nimejaribu kuzipenda nyimbo zake lakini huwa haziningii akilini kabisa....sijui ni uzee au ushamba?Kama kuna anaye muelewa naomba mnisaidie kiushauri ili nipende nyimbo zake...
hahahahaha ***** wabongo mwisho wa matatizo hahahahaha nimecheka kama fala!Hta mm huwa sikaelewi haka kabinti vitako kama ndimu
ahhha hhahaUmejipigia chapuo!
[emoji28][emoji28][emoji28]
Best female vocalist??..No way..Ruby utamwitaje sasa??Best female vocalist kwa sasa, labda ww humuelewi sababu ana swaga za mbele ila yupo vizuri sana.
For me, Vanessa ni mkali.Best female vocalist??..No way..Ruby utamwitaje sasa??
Akijibu nitag..Best female vocalist??..No way..Ruby utamwitaje sasa??
😂😂😂eti "i wanna make you sweat sweat wet wet"
sipendi mwanamke anayenitishia amani.
baadhi ya nyimbo zake ziko vizuri kama ile nobody like you
Mkuu utakua uko kwenye mziki au Yale mafinyofinyoNamkubali sana yule mdogo wake mimi mars. Amenona balaa