[emoji38][emoji38]ukipenda usipopendwa,, tafuta KISELA ya Vanessa ndio utamwelewa anachofanya.Pamoja na umaarufu wake na ukubwa wa jina lake lakini huwa nyimbo za Vanessa Mdee huwa sizielewi kabisa...yaani hata ukiniuliza sasa hivi kama kuna nyimbo yake naiujua wala siwezi kukuambia manake hazinaga ujumbe unaoeleweka...nikifananisha na akina Nandy , Linah, Maua Sama,Lady JD na mademu wengine....nimejaribu kuzipenda nyimbo zake lakini huwa haziningii akilini kabisa....sijui ni uzee au ushamba?Kama kuna anaye muelewa naomba mnisaidie kiushauri ili nipende nyimbo zake...
Hata "No body but me" huujui?Pamoja na umaarufu wake na ukubwa wa jina lake lakini huwa nyimbo za Vanessa Mdee huwa sizielewi kabisa...yaani hata ukiniuliza sasa hivi kama kuna nyimbo yake naiujua wala siwezi kukuambia manake hazinaga ujumbe unaoeleweka...nikifananisha na akina Nandy , Linah, Maua Sama,Lady JD na mademu wengine....nimejaribu kuzipenda nyimbo zake lakini huwa haziningii akilini kabisa....sijui ni uzee au ushamba?Kama kuna anaye muelewa naomba mnisaidie kiushauri ili nipende nyimbo zake...
Nashangaa mkuu ujue kilicho mpa vanesa umaarufu si mziki mi nilimjua kwa utangazajiBest female vocalist??..No way..Ruby utamwitaje sasa??
poa sitarudia kukuita mazaa,tunaelewana mamii?Kama mazaa. Ungetumia mamii ningependa
NaaaaaaaamUzungu+swagaaaa nyiiiingi=bullshit
Ukali ndio vocalist?For me, Vanessa ni mkali.
Sawa mkuupoa sitarudia kukuita mazaa,tunaelewana mamii?
Kwani kwako ukali ndio nini?Ukali ndio vocalist?
Best female vocalist??..No way..Ruby utamwitaje sasa??
Duuh mkuu wewe hupendi mziki wake au vitako vyake?Hta mm huwa sikaelewi haka kabinti vitako kama ndimu
Suala la kazi za sanaa na tafsiri zake pamoja na kupata hisia ni tata sana.Ili kazi ya mtu kukubalika kuna vigezo vingi vinavyotofautiana vionjo toka mtu mmoja hadi mwingine.Hivyo, si kweli kuwa maudhui pekde ndiyo hufanya watu kupenda mziki.Pamoja na umaarufu wake na ukubwa wa jina lake lakini huwa nyimbo za Vanessa Mdee huwa sizielewi kabisa...yaani hata ukiniuliza sasa hivi kama kuna nyimbo yake naiujua wala siwezi kukuambia manake hazinaga ujumbe unaoeleweka...nikifananisha na akina Nandy , Linah, Maua Sama,Lady JD na mademu wengine....nimejaribu kuzipenda nyimbo zake lakini huwa haziningii akilini kabisa....sijui ni uzee au ushamba?Kama kuna anaye muelewa naomba mnisaidie kiushauri ili nipende nyimbo zake...