Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Una elimu gani kwani? Hujui kuna viwango tofauti vya uelewa?Pamoja na umaarufu wake na ukubwa wa jina lake lakini huwa nyimbo za Vanessa Mdee huwa sizielewi kabisa...yaani hata ukiniuliza sasa hivi kama kuna nyimbo yake naiujua wala siwezi kukuambia manake hazinaga ujumbe unaoeleweka...nikifananisha na akina Nandy , Linah, Maua Sama,Lady JD na mademu wengine....nimejaribu kuzipenda nyimbo zake lakini huwa haziningii akilini kabisa....sijui ni uzee au ushamba?Kama kuna anaye muelewa naomba mnisaidie kiushauri ili nipende nyimbo zake...
Humu wengi ni bendera fuata upepo na maboya ndiyo wanamsifia sababu ya promo zake ...ukiwauliza wataje nyimbo kali za huyu demu halafu wamlinganishe na hao wengine wanabwabwaja tuuu...
Kumbe!!?kuna wimbo unaitwa wet wet hata sielewi ni kitu gani ujinga mtupu
Mkuu sasa umeamza matusi na uzalilishaji kwa nini lakin?Hta mm huwa sikaelewi haka kabinti vitako kama ndimu
Kinachomsaidia kukaa uchi na ung'eng'e jomba ila yuko kawaida sana mkuuPamoja na umaarufu wake na ukubwa wa jina lake lakini huwa nyimbo za Vanessa Mdee huwa sizielewi kabisa...yaani hata ukiniuliza sasa hivi kama kuna nyimbo yake naiujua wala siwezi kukuambia manake hazinaga ujumbe unaoeleweka...nikifananisha na akina Nandy , Linah, Maua Sama,Lady JD na mademu wengine....nimejaribu kuzipenda nyimbo zake lakini huwa haziningii akilini kabisa....sijui ni uzee au ushamba?Kama kuna anaye muelewa naomba mnisaidie kiushauri ili nipende nyimbo zake...