Sijui kwanini Mafundi wengi wahuni ndio huwa wanakuwa mafundi wazuri

Sijui kwanini Mafundi wengi wahuni ndio huwa wanakuwa mafundi wazuri

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hasahasa mafundi nyumba na furniture yaani hawa katika historia zao lazima tu wamepelekwa polisi sana wamekula hela ya kutengeneza kitanda au advance halafu wanaleta sound..

Ila hao mafundi watata watata ndo unakuta wakifanya kazi matokeo mazuri.kazi zao zinawafanya watafutwe na watu kikubwa ni kuwa makini nao tu ukiwapa advance mzee lazima wakakinukishe bar wajaze vyupa.
 
Mafundi wengi wazinguaji tu, hasa mafundi ujenzi bila usimamizi wa karibu nyumba ya mil 40 utaijenga kwa 70🤔
 
Back
Top Bottom