Sijui kwanini nachepuka...

Sijui kwanini nachepuka...

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Yaani mama yeyoo alivyo kisu hata sielewagi why mimi sometimes nakua mchepukaji. Maana hata kipindi nampata yeye ndo alikua kama side chick halafu main chick sikumuoa japo naye alikua kisu.

Ila tuache utani wachepukaji tunakua na maoption sana maana nikikumbuka visu nilivokua nakula hadi nilikuaga najishangaa kweli mi ndo nakula hii kitu, mbona ikienda miss TZ inashinda? Kwakweli ukiona mtu kaoa pisi kali basi ujue asilimia 90 alikua mchepukaji na
huenda kastaafu au ndo zile kama zangu unaendeleza libeneke kiaina.

Nasubiri fainali hapa Senegal na Egypt nikajikuta nimewaza safari ya uchepukaji. Mniombee Senegal akishinda nisijejipongeza kwa kula mchepuko maana.

1644216102360.png

 
Chui jike ana kazi kubwa sana kuifungua hii nchi yenye vijana wenye haya mawazo[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kama wenye hadhi ya kwenda miss TZ ndo uliwaona ni pisi kali hapo hamna kitu, mamiss wote hua namba moja, mifupa mitupu
 
Ha ha ha....
Huu Uzi nmeusoma uku nacheka Sana[emoji4]
 
malaya wote wanaoaga housegrl kutoka kijijini.

we mnoko unajipromi tu apa
 
Kama wenye hadhi ya kwenda miss TZ ndo uliwaona ni pisi kali hapo hamna kitu, mamiss wote hua namba moja, mifupa mitupu
Ndo type zangu mkuu...unakula hadi mifupa
 
Kama wenye hadhi ya kwenda miss TZ ndo uliwaona ni pisi kali hapo hamna kitu, mamiss wote hua namba moja, mifupa mitupu
Asikwambie mtu nyama ya karibu na mfupa ni tamu mnoooo
 
Ngoja tumuulize mtaalamu wa hizi kazi DeepPond

Fikiria mwendokasi ichepuke kuja kwenye njia ya magari mengine, halafu isitosheke ichepuke hadi kule pembeni kabisa kwenye service road...
 
Kama wenye hadhi ya kwenda miss TZ ndo uliwaona ni pisi kali hapo hamna kitu, mamiss wote hua namba moja, mifupa mitupu
kama nafaa kuwa miss tanzania basi hata chura atakuwa hana....hivyo hafai kuitwa pisi kali
 
Kama wewe hujui sababu ya kuchepuka kwako sisi tutajuaje..???
 
Back
Top Bottom