Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Nilivyokua nasoma nilikua nahisi kuna kibaya kimewakuta hospitalini kumbe alipona mtoto na kuruhusiwa, nimeshukuru kwa hilo.
My dear binadamu hatuma wema, binadamu ni wasahaulifu, binadamu tuna wivu na tuna visasi.
Huwezi jua kuna kitu hakikuwa sawa kati yenu mlivyokuwa mnasoma akaweka chuki nawe na alipopata nafasi ya wewe nawe kuumia akaitumia, ni dhana tu lakini.
Yote ya yote jana imepita achana nayo tungojee kesho.
My dear binadamu hatuma wema, binadamu ni wasahaulifu, binadamu tuna wivu na tuna visasi.
Huwezi jua kuna kitu hakikuwa sawa kati yenu mlivyokuwa mnasoma akaweka chuki nawe na alipopata nafasi ya wewe nawe kuumia akaitumia, ni dhana tu lakini.
Yote ya yote jana imepita achana nayo tungojee kesho.