Sijui kwanini simpendi Diamond na miziki yake

Umemaliza kila kitu, mkuu ningekuwa karibu ningekupooza hata na wekundu watano waliobakia wote wamekomenti utumbo tu,
 
Sio kweli jamaa ana vijembe km mwanamke alishawahigi kumpiga vijembe hamisa mpaka mzee yusuph akamwambia huo sio uanaume,jamaa akaomba msamaha
Huyo hamisa alimkosea mondi alipost picha wapo chumbani na mondi ukiachana na hapo alienda kwa mganga ili mondi ampende yeye pekee bahati mbaya video ikavuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…