johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe asiwadanganye wanachama wake, Kilimanjaro na Arusha CCM ni Imara sana
Jimbo pekee lenye changamoto ni Karatu Arusha lakini Majimbo yote ya Kilimanjaro ni CCM
Nipo hapa Lembeni kwa rafiki yangu Chediel tukibadilishana mikakati na Wanaccm maana wananiambia Lema na Mbowe juzikati walikuwa mitaa hii
CCM oyee 😄😄😄
Jimbo pekee lenye changamoto ni Karatu Arusha lakini Majimbo yote ya Kilimanjaro ni CCM
Nipo hapa Lembeni kwa rafiki yangu Chediel tukibadilishana mikakati na Wanaccm maana wananiambia Lema na Mbowe juzikati walikuwa mitaa hii
CCM oyee 😄😄😄