Sijui ni kwanini Mabodigadi wa Mama hawanivutii Kuwaangalia kama wale wa Baba aliyetuacha mazima

Sijui ni kwanini Mabodigadi wa Mama hawanivutii Kuwaangalia kama wale wa Baba aliyetuacha mazima

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tafadhali mwenye Picha mbalimbali za Mabodigadi wa Baba aliyetuacha mazima ( hasa yule Macho Kufinyafinya ) na Yule mvaa Miwani Myeusi anayekuwa mbali nyuma yao aniwekee hapa kwani zimenipotea katika Phone Gallery yangu.

Nilipenda mno Utizamaji wao, Usimamaji wao, Umakini wao, Tembea yao, Wasiliana yao, Kupendeza Kwao, Muonekano wao, Ufichaji wao wa Silaha Viunoni na Kimbia yao huku Gari zao Milango ikiwa wazi ( imefunguliwa )

Wa sasa wala hawanivutii sana.
 
Tafadhali mwenye Picha mbalimbali za Mabodigadi wa Baba aliyetuacha mazima ( hasa yule Macho Kufinyafinya ) na Yule mvaa Miwani Myeusi anayekuwa mbali nyuma yao aniwekee hapa kwani zimenipotea katika Phone Gallery yangu.

Nilipenda mno Utizamaji wao, Usimamaji wao, Umakini wao, Tembea yao, Wasiliana yao, Kupendeza Kwao, Muonekano wao, Ufichaji wao wa Silaha Viunoni na Kimbia yao huku Gari zao Milango ikiwa wazi ( imefunguliwa )

Wa sasa wala hawanivutii sana.
ukitaka wakuvutie msogelee b dada akiwa kwenye mkunano au jukwaani au nenda pale chamuino umsubili tu hili umogelee hili uone mabodigadi wake wanavio vitia
 
Tafadhali mwenye Picha mbalimbali za Mabodigadi wa Baba aliyetuacha mazima ( hasa yule Macho Kufinyafinya ) na Yule mvaa Miwani Myeusi anayekuwa mbali nyuma yao aniwekee hapa kwani zimenipotea katika Phone Gallery yangu.

Nilipenda mno Utizamaji wao, Usimamaji wao, Umakini wao, Tembea yao, Wasiliana yao, Kupendeza Kwao, Muonekano wao, Ufichaji wao wa Silaha Viunoni na Kimbia yao huku Gari zao Milango ikiwa wazi ( imefunguliwa )

Wa sasa wala hawanivutii sana.
Kweli kuna watu mna uhasidi wa nyoka! Mna chuki iliiyopitiliza.
Kwani wewe uwapende ama usiwapende utabadilisha nini!
 
Tafadhali mwenye Picha mbalimbali za Mabodigadi wa Baba aliyetuacha mazima ( hasa yule Macho Kufinyafinya ) na Yule mvaa Miwani Myeusi anayekuwa mbali nyuma yao aniwekee hapa kwani zimenipotea katika Phone Gallery yangu.

Nilipenda mno Utizamaji wao, Usimamaji wao, Umakini wao, Tembea yao, Wasiliana yao, Kupendeza Kwao, Muonekano wao, Ufichaji wao wa Silaha Viunoni na Kimbia yao huku Gari zao Milango ikiwa wazi ( imefunguliwa )

Wa sasa wala hawanivutii sana.
Pengine hujawazoea akina Mama.
 
Tafadhali mwenye Picha mbalimbali za Mabodigadi wa Baba aliyetuacha mazima ( hasa yule Macho Kufinyafinya ) na Yule mvaa Miwani Myeusi anayekuwa mbali nyuma yao aniwekee hapa kwani zimenipotea katika Phone Gallery yangu.

Nilipenda mno Utizamaji wao, Usimamaji wao, Umakini wao, Tembea yao, Wasiliana yao, Kupendeza Kwao, Muonekano wao, Ufichaji wao wa Silaha Viunoni na Kimbia yao huku Gari zao Milango ikiwa wazi ( imefunguliwa )

Wa sasa wala hawanivutii sana.
Unapiga miguu yoe, mpira, siasa, nk
 
nyuzi nyingie hizi duh
Ukikurupuka kuzisoma na kutuliza Aklli Kuzielewa kwa haraka utadhani aliyeandika / aliyeanzisha ni Hamnazo ( Kadata ) fulani hivi wakati kumbe kuna Ujumbe mkubwa mno na Fumbo fulani ndani na Uzi husika.
 
Na hotuba zake vipi? Siku za nyuma nilipenda sana zile hotuba za kufokafoka na kumuwajibisha mtu bila kumumunya maneno.
 
Tafadhali mwenye Picha mbalimbali za Mabodigadi wa Baba aliyetuacha mazima ( hasa yule Macho Kufinyafinya ) na Yule mvaa Miwani Myeusi anayekuwa mbali nyuma yao aniwekee hapa kwani zimenipotea katika Phone Gallery yangu.

Nilipenda mno Utizamaji wao, Usimamaji wao, Umakini wao, Tembea yao, Wasiliana yao, Kupendeza Kwao, Muonekano wao, Ufichaji wao wa Silaha Viunoni na Kimbia yao huku Gari zao Milango ikiwa wazi ( imefunguliwa )

Wa sasa wala hawanivutii sana.
Watu wenyewe wamekurupushwa hata walikuwa hawana imani kuwa watakuwa hapo walikuwa wanapiga umbea tu pale stand kwa mbele kama unaenda Cameron
 
Watu wenyewe wamekurupushwa hata walikuwa hawana imani kuwa watakuwa hapo walikuwa wanapiga umbea tu pale stand kwa mbele kama unaenda Cameron
Wewe Jamaa nikisoma tu 'Comments' zako katika Uzi wangu wowote ule lazima nitavunjika Mbavu zangu kwa Kucheka.

Huwaogopi Mkuu kwani wapo pia JF.
 
Wewe Jamaa nikisoma tu 'Comments' zako katika Uzi wangu wowote ule lazima nitavunjika Mbavu zangu kwa Kucheka.

Huwaogopi Mkuu kwani wapo pia JF.
Hata siwaogopi kabisaa mkuu, lipo jingine hapa Ibinzamata linazubazubaa tu hapa shinyanga linajifanya hatulijui kumbe nalichora tu😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom