GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Nasikia wengi wametawanyishwa Mikoani na Wilayani Mkuu je, kuna Ukweli wowote ule juu ya hili?Hata siwaogopi kabisaa mkuu, lipo jingine hapa Ibinzamata linazubazubaa tu hapa shinyanga linajifanya hatulijui kumbe nalichora tuππππ
Ukweli upo sana tu sijui ni mpango gani huu ila basi tu........Nasikia wengi wametawanyishwa Mikoani na Wilayani Mkuu je, kuna Ukweli wowote ule juu ya hili?
Big upThat's why I'm Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer Chief.
Kuna Mmoja nasikia sasa hivi kaanza Ulevi na Mpenda 'Mbunye' wakati hata alipokuwa na Baba hakuwa na Tabia hiyo. Ni kweli Mkuu?Ukweli upo sana tu sijui ni mpango gani huu ila basi tu........
Thanks.Big up
Aaaah tulia kwanza kuna toto la kisukuma mbele yangu nalinyatia linafanana na mrembo mmoja humu jf daah π’π’π’π’Kuna Mmoja nasikia sasa hivi kaanza Ulevi na Mpenda Mbunye wakati hata alipokuwa na Baba hakuwa na Tabia hiyo. Ni kweli Mkuu?
Nipo nyuma yakoWewe uliwahi kuwa mzima lini labda?
Nakazia mkuu inakuwaje mwanaume anasema anavutiwa na wanaume wenzake. Hivi Mtoa mzima kweli huyu?
Hahahaha tabia haifichiki ila unaweza ku pretend kuificha.Kuna Mmoja nasikia sasa hivi kaanza Ulevi na Mpenda 'Mbunye' wakati hata alipokuwa na Baba hakuwa na Tabia hiyo. Ni kweli Mkuu?
Tafadhali mwenye Picha mbalimbali za Mabodigadi wa Baba aliyetuacha mazima ( hasa yule Macho Kufinyafinya ) na Yule mvaa Miwani Myeusi anayekuwa mbali nyuma yao aniwekee hapa kwani zimenipotea katika Phone Gallery yangu.
Nilipenda mno Utizamaji wao, Usimamaji wao, Umakini wao, Tembea yao, Wasiliana yao, Kupendeza Kwao, Muonekano wao, Ufichaji wao wa Silaha Viunoni na Kimbia yao huku Gari zao Milango ikiwa wazi ( imefunguliwa )
Wa sasa wala hawanivutii sana.